Zombi Mweusi
JF-Expert Member
- Feb 9, 2017
- 841
- 1,755
Habarini wana jamvi,nimekuja kwenu naomba kujua iko hivi
Mimi nina wadogo zangu wa kike wawili na ni mjasiriamali nataka kuwaokoa kwenye ishu ya kuhangaika na ajira nataka niwashilikishe kwenye moja ya biashara yangu mpya nayopanga kufungua mwezi wa 10 nataka waweke shea yao ili kila mwezi wawe wanapata mgao wao
Shida nina familia na nataka tuwe na mkataba utakao tambulika na familia yangu kujua dada zangu wanashea kwenye biashara mpya
Mfano mtaji nataka uwe million 1 wao waweke laki 4 kwenye mtaji wote nilikuwa naomba mchanganuo wa mkataba unapaswa uwaje pamoja na mgao
Kama ndakuwa sijaeleweka alienielewa hata kidogo anaweza kuiweka vizuri
Nategemea mawazo yenu
Mimi nina wadogo zangu wa kike wawili na ni mjasiriamali nataka kuwaokoa kwenye ishu ya kuhangaika na ajira nataka niwashilikishe kwenye moja ya biashara yangu mpya nayopanga kufungua mwezi wa 10 nataka waweke shea yao ili kila mwezi wawe wanapata mgao wao
Shida nina familia na nataka tuwe na mkataba utakao tambulika na familia yangu kujua dada zangu wanashea kwenye biashara mpya
Mfano mtaji nataka uwe million 1 wao waweke laki 4 kwenye mtaji wote nilikuwa naomba mchanganuo wa mkataba unapaswa uwaje pamoja na mgao
Kama ndakuwa sijaeleweka alienielewa hata kidogo anaweza kuiweka vizuri
Nategemea mawazo yenu