Mkataba wa Wizara ya Nishati na Mawasiliano kusambaza Mkongo wa Taifa kwa nguzo za TANESCO umeishia wapi?

Mkataba wa Wizara ya Nishati na Mawasiliano kusambaza Mkongo wa Taifa kwa nguzo za TANESCO umeishia wapi?

kmbwembwe

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2012
Posts
10,892
Reaction score
7,780
Juzi jirani na nyumbani ninapoishi nimeona watu wanachimba mashimo kuweka nguzo za miti zile za tanesco. Nikawauliza kwani tanesco bado mnaweka nguzo za miti maana juzi tu nimeona hapo jirani mumereplace nguzo iliyoanguka kwa nguzo ya zege.

Jibu lilikua wao sio tanesco ila wanaweka mtandao kwa kusambaza mkongo wa taifa. Hapo likanijia wazo kwamba kuna wahuni washachukua ulaji kuweka mtandao pengine sio lazima.

Mkataba wa kina kalemani wa kutumia nguzo za kusambaza umeme za tanesco badala ya kuweka mtandao mpya nikawaza bila shaka umeyeyuka. Kuweka mtandao mpya itatutumia ardhi mpya pengine chini ya kampuni mpya ya wahuni.

Hapo walipokua wanachimba kuwekwa nguvu kwa kumbukumbu yangu kuna bomba kubwa la maji yanapita. Ingekua sio kuwatahadharisha kungetokea shida.

Wahuni hawajali mawazo mazuri yanayoweza kuokoa gharama kwa fedha za umma. Wanachojali wao ni kupata hela hata kama ni kwa kukamua fedha ya umma au hata kuiba.

Mungu tunusuru Rip.JPM
 
#Kataa wahuni.

Sasa hivi ni mwendo wa kula bata tu. Kazi zitafanyika tukipanda kiongozi mkuu mwingine/mchapa kazi.
 
Una hoja kiasi ila ulipoleta mambo ya akina Kalemani na Mwendazake ndipo ulipopoteza mashiko. Hoja yako ya kutumia nguzo za umeme kusambaza mkongo wa Taifa sio realistic kutokana na uhalisia wake and status wa nguzo za umeme. Mkongo hata ulaya umesambazwa chini ya ardhi pamoja na kuwa na mifumo ya Umeme. Ungetafuta elimu kidogo juu ya usambazaji wa networks za mawasiliano kabla hujaanza lalamika na kutoa lawama ooh wahuni (Polepole group).
 
Una hoja kiasi ila ulipoleta mambo ya akina Kalemani na Mwendazake ndipo ulipopoteza mashiko. Hoja yako ya kutumia nguzo za umeme kusambaza mkongo wa Taifa sio realistic kutokana na uhalisia wake and status wa nguzo za umeme. Mkongo hata ulaya umesambazwa chini ya ardhi pamoja na kuwa na mifumo ya Umeme. Ungetafuta elimu kidogo juu ya usambazaji wa networks za mawasiliano kabla hujaanza lalamika na kutoa lawama ooh wahuni (Polepole group).
Unapinga kwa kuchukia polepole na kutajwa wahuni ila hoja na mpango wa kina kalemani una mashiko. Miji yetu ukweli ni squarters asilimia zaidi ya 70. Utachimba chini utawezaje kua na ramani ya kumbukumbu huna mitaa na majina ya uhakika. Mabomba yanatobolewa kila siku hakuna ramani ya kumbukumbu ndio itakua hizo cable kufukiwa chini.
 
Unapinga kwa kuchukia polepole na kutajwa wahuni ila hoja na mpango wa kina kalemani una mashiko. Miji yetu ukweli ni squarters asilimia zaidi ya 70. Utachimba chini utawezaje kua na ramani ya kumbukumbu huna mitaa na majina ya uhakika. Mabomba yanatobolewa kila siku hakuna ramani ya kumbukumbu ndio itakua hizo cable kufukiwa chini.
Bado kuna kitu hukijui you can use Google/cordinates kulocate anything on the earth na kukifikia bila shida. Sio lazima eneo liwe limepimwa. Dunia imeendele sana ndugu yangu issue ya kulocate anything on earth has been made simple. Miji mingi TZ ipo digitased au unaweza ku-digitise if you wish. Hiyo hoja yako haina mashiko.
 
Una hoja kiasi ila ulipoleta mambo ya akina Kalemani na Mwendazake ndipo ulipopoteza mashiko. Hoja yako ya kutumia nguzo za umeme kusambaza mkongo wa Taifa sio realistic kutokana na uhalisia wake and status wa nguzo za umeme. Mkongo hata ulaya umesambazwa chini ya ardhi pamoja na kuwa na mifumo ya Umeme. Ungetafuta elimu kidogo juu ya usambazaji wa networks za mawasiliano kabla hujaanza lalamika na kutoa lawama ooh wahuni (Polepole group).
Kama ni kweli basi wabunge wetu walivalie njuga.
 
Ngoja Tanesco waje kukupa muongozo kwa kukuomba location na number ya simu...
 
Back
Top Bottom