Mkataba wa Yanga sijafahamu watakavyonufaika

Northern empire

JF-Expert Member
Joined
Nov 14, 2019
Posts
358
Reaction score
459
Habari za mchana ndugu zangu .

Jana nimeona yanga wamesaiin mkataba na La Liga na Sevilla na wametoa billion 2.6 Sasa kwa wale wajuzi wanisaidie yanga itanufaikajee na huu mkataba?
 
Kusaini tu mkataba na laliga ni faida tosha, mwaka huu tuna mechi mbili za kirafiki MADRID na BARCELONA hapo hata tukiweka kiingilio elfu 30 uwanja utajaa.
 
Mbumbumbu fc akili zenu mmeshikiwa na manara ndo mana mnapata shida kufahamu
 
kwani jamaa kashindwa kuutafta kwenye mitandao akajisomea akaelewa au pia hata akisoma hataelewa
 
unajua kama hamjauona huo mkataba,haki ya kuukosoa haipo.tukosoe kitu baada ya kukiona na kukifanyia utafiti
 
Habari za mchana ndugu zangu . Jana nimeona yanga wamesain mkataba na laliga na sevilla na wametoa billion 2.6 Sasa kwa wale wajuzi wanisaidie yanga itanufaikajee na huu mkataba?
Haijatolewa bilioni 2.6 imetplewa milioni 208 kwwa ajili ya ushauri wa namna nzuri ya kubadilisha mfumo wa uongozi na umiliki.
Hatua zingine zitafuata na mpaka mchakato mzima uishe, itachukua miaka mitatu na shilingi bilioni 2.6
 
Mikia bhana. Wanadhani hela za Mo ni za kwao.
Hawana akili yoyote zaidi ya kumtegemea Mungu wao Mo Dewji.

Hii njia wanamopita Yanga, Mikia wanakuja kuifuata.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…