Nawasalimun Nyote Wakuu,
Kama Heading Yangu Inavyojieleza.Jana Nimepgiwa Simu Na Mwajir Wangu Yakuwa Mkataba Wangu Unaisha Mwezi Huu Na Kampuni Haitaongeza,na Hapa Wameniambia Nijaze Clearance Form,
Nachotaka Kujua Je Ni Kipi Nifanye Ili Katika Hili Haki Zangu Zisipotee?Na Yapi Yakufata?Nisaidieni,