Mkataba wangu wa kazi umekwisha miezi miwili sasa, mwajiri bado ananilipa.

Mkataba wangu wa kazi umekwisha miezi miwili sasa, mwajiri bado ananilipa.

....noted.
....na VIP kama unaachishwa kazi siku 2 baada ya mkataba wako wa mwanzo kuisha
...eg,mkataba umeisha 30.05.2018 na unakuja pewa barua ya kuterminate contract tar 02.06.2018...hapo sheria inasemaje mkuu
You have a strong case against your employer. "Wrongful dismissal
 
Back
Top Bottom