Ndo sheria inavyosema ndugu....no research no right to speakMsiandike kwa hisia zenu kumdanganya wenzenu, kama hujui subiri wanajua waje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo sheria inavyosema ndugu....no research no right to speakMsiandike kwa hisia zenu kumdanganya wenzenu, kama hujui subiri wanajua waje
You have a strong case against your employer. "Wrongful dismissal....noted.
....na VIP kama unaachishwa kazi siku 2 baada ya mkataba wako wa mwanzo kuisha
...eg,mkataba umeisha 30.05.2018 na unakuja pewa barua ya kuterminate contract tar 02.06.2018...hapo sheria inasemaje mkuu
Mpk sa hivi bado, ila mpunga kama kawaidaMwajiri amerenew mkataba wako wa zamani. Endelea kupiga kazi