Mkataba wenye utata kati ya Bernard Morrison na Simba umebadiliahwa rasmi kwenye mfumo wa usajili was TMS

Usipanic ndugu, ndio dunia ilivyo. Hata ktk politics na mambo mengine mf kiuchumi HALI NDIO HIO HIO. Pambaneni na hali yenu
Hatuna haja ya kufanya hivyo kwasababu hao mliotegemea kuwachukua ili mtukomeshe hawajawasaidia kitu upande wenu na upande wetu hawajaleta pengo lolote. Poleni kwahilo
 
Sasa si ndio vizuri wamerekebisha mapungufu tatizo Nini sasa
 
Haya wahini FIFA maana mnachojua ni kulalamika tu kama changudoa aliyekopwa
 
Majungu FC ...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…