Mkate wa mchele au wakumimina

Mkate wa mchele au wakumimina

Mwachiluwi

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2022
Posts
25,258
Reaction score
48,589
Hellow simba pole leo mlikuwa mnakomaa kiume na tumejua kuwa bila marefa hamtoboi 😂
Turudi class
Kwanza andaa mchele wako vizuri chambua kama unaweza kuloweka loweka mimi sikuloweka kwasababu nilikuwa na haraka zangu binafsi
1740421065884.jpeg

Hapo nilikuwa nimeweka mchele sukari hamira na irick ya unga
1740421130633.jpeg

Hapo nikaweka maji wewe unaweza kutumia maziwa au tui la nazi nikasaga mh nikaona mchele hausagiki vizuri nikabidi nipunguze
1740421227100.jpeg

Nilipoona umesagika good nikawasha moto uku nikisubiri uji uumuke
1740421353736.jpeg

Baada ya mda nikachukua sufuria nikaweka mafuta nikaacha yachemke kabisa uku nikiyazungusha ili mafuta yaenee kwenye sufuria
1740421450734.jpeg

Baada ya kuenea vzr nikaweka uji wa mchele ulio umuka vzr niliukoroga kuondoa upepo
1740421545025.jpeg

Baada ya lisaa ndio nikatoa ila mimi nilisumbuka kama una oven tumia oven
1740421613344.jpeg
 
Back
Top Bottom