Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Hellow simba pole leo mlikuwa mnakomaa kiume na tumejua kuwa bila marefa hamtoboi 😂
Turudi class
Kwanza andaa mchele wako vizuri chambua kama unaweza kuloweka loweka mimi sikuloweka kwasababu nilikuwa na haraka zangu binafsi
Hapo nilikuwa nimeweka mchele sukari hamira na irick ya unga
Hapo nikaweka maji wewe unaweza kutumia maziwa au tui la nazi nikasaga mh nikaona mchele hausagiki vizuri nikabidi nipunguze
Nilipoona umesagika good nikawasha moto uku nikisubiri uji uumuke
Baada ya mda nikachukua sufuria nikaweka mafuta nikaacha yachemke kabisa uku nikiyazungusha ili mafuta yaenee kwenye sufuria
Baada ya kuenea vzr nikaweka uji wa mchele ulio umuka vzr niliukoroga kuondoa upepo
Baada ya lisaa ndio nikatoa ila mimi nilisumbuka kama una oven tumia oven
Turudi class
Kwanza andaa mchele wako vizuri chambua kama unaweza kuloweka loweka mimi sikuloweka kwasababu nilikuwa na haraka zangu binafsi
Hapo nilikuwa nimeweka mchele sukari hamira na irick ya unga
Hapo nikaweka maji wewe unaweza kutumia maziwa au tui la nazi nikasaga mh nikaona mchele hausagiki vizuri nikabidi nipunguze
Nilipoona umesagika good nikawasha moto uku nikisubiri uji uumuke
Baada ya mda nikachukua sufuria nikaweka mafuta nikaacha yachemke kabisa uku nikiyazungusha ili mafuta yaenee kwenye sufuria
Baada ya kuenea vzr nikaweka uji wa mchele ulio umuka vzr niliukoroga kuondoa upepo
Baada ya lisaa ndio nikatoa ila mimi nilisumbuka kama una oven tumia oven