Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
- #21
Hapna mimi hapo sijaukatakata tuduh
hichi mbona kama kitumbua kikubwa
unakila na nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapna mimi hapo sijaukatakata tuduh
hichi mbona kama kitumbua kikubwa
unakila na nini?
Mwambie na pilipili mangaHuo ni mkate unakula Na chai ya maziwa au chai ya iliki
Ahaha na bado ujaona mkate wa ufutatembea uyaone kwa kweli
Ushawai kunyqa chai yenye pili pili?tembea uyaone kwa kweli
pili pili manga labdaUshawai kunyqa chai yenye pili pili?
Ndio inakuwasha hiv mpama mafua yanatokapili pili manga labda
uswahili mimi nimeukataa kabisa
Awwwh jamani!!! Akutunze sana nikutakie usiku mwema.Ni kweli ila napendaga kama nikipika naye awepo jikoni niwe namtuma tuma na utani wa hapa na pale
Nawe piaAwwwh jamani!!! Akutunze sana nikutakie usiku mwema.
Huwezi amini kwasas Nina miaka 7 npo mkoani sijawh kula hivi vtu nakumbuka mbali sanaHellow simba pole leo mlikuwa mnakomaa kiume na tumejua kuwa bila marefa hamtoboi 😂
Turudi class
Kwanza andaa mchele wako vizuri chambua kama unaweza kuloweka loweka mimi sikuloweka kwasababu nilikuwa na haraka zangu binafsi
View attachment 3248273
Hapo nilikuwa nimeweka mchele sukari hamira na irick ya unga
View attachment 3248279
Hapo nikaweka maji wewe unaweza kutumia maziwa au tui la nazi nikasaga mh nikaona mchele hausagiki vizuri nikabidi nipunguze
View attachment 3248287
Nilipoona umesagika good nikawasha moto uku nikisubiri uji uumuke
View attachment 3248297
Baada ya mda nikachukua sufuria nikaweka mafuta nikaacha yachemke kabisa uku nikiyazungusha ili mafuta yaenee kwenye sufuria
View attachment 3248301
Baada ya kuenea vzr nikaweka uji wa mchele ulio umuka vzr niliukoroga kuondoa upepo
View attachment 3248309
Baada ya lisaa ndio nikatoa ila mimi nilisumbuka kama una oven tumia oven
View attachment 3248315
Mbona kama mayai ya kukaangwaHuo unaitwa mkate wa chile.....
Au badala kuoka kwenye sufuria, huo unaweza kupika kwa kutumia kikaangio, unapata "Vibibi"
View attachment 3248474
Mabuyu hayajaanza kuanguka 😂😂