Wingawinga
JF-Expert Member
- Oct 31, 2021
- 623
- 1,531
- Thread starter
- #41
Dah tumejikosea kitu kizuri, inabidi nifuatilie why na nikipata jibu kama nawza pata recipe , itabidi nifanyie kazi.Mikate ile mitami klikuwa inazalishwa na Shirika la umma NMC. Mashirika ya umma mengi ilifika wakati yalidorora au kufa. Utengenezaji wa huo mate nadhani uliathiriwa na hali hii.