upupu255
Senior Member
- Sep 4, 2024
- 119
- 144
Mmoja ya wananchi wa Wilaya ya Korogwe, mkoani Tanga amejitokeza kwenye Mkutano wa hadhara unaofanyika katika viwanja vya Chuo cha Ualimu Korogwe, ambako Rais Samia Suluhu Hassan anatazamiwa kuhutubia akiwa na kapu litakalojaa kura zake!
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Rais Samia ambaye amewasili Korogwe akitokea Lushoto yupo Tanga kwa ziara ya kikazi ambapo anazindua miradi na kuongea na wananchi maeneo mbalimbali mkoani humo.
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Rais Samia ambaye amewasili Korogwe akitokea Lushoto yupo Tanga kwa ziara ya kikazi ambapo anazindua miradi na kuongea na wananchi maeneo mbalimbali mkoani humo.