Mke achoma vyeti vya mumewe kwa kutokujua kusoma.

Mke achoma vyeti vya mumewe kwa kutokujua kusoma.

Superbug

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
13,864
Reaction score
35,079
Jamaa mmoja alioa mke asiejua kusoma wala kuandika ikatokea siku moja mke akaamua kufanya usafi ndipo alipochoma academic certificates za mumewe akijua ni makaratasi. Mme alipokuja alipomuuliza mkewe akajibu kimasihara nimechoma makaratasi pamoja na matakataka pale chumbani. Jamaa alilia kama mtoto mdogo. Kwasasa mwamba anafagia tu pale hospital ya mkoa wa morogoro.
Funzo: mkioa wake zenu kama hawajaenda shule wapeni semina elekezi ya vitu nyeti ndani ya nyumba mfano vyeti vya kitaaluma na hati za ardhi aziheshimu. Usije ukakuta siku kavitia vyote kiberiti.
 
Jamaa mmoja alioa mke asiejua kusoma wala kuandika ikatokea siku moja mke akaamua kufanya usafi ndipo alipochoma academic certificates za mumewe akijua ni makaratasi. Mme alipokuja alipomuuliza mkewe akajibu kimasihara nimechoma makaratasi pamoja na matakataka pale chumbani. Jamaa alilia kama mtoto mdogo. Kwasasa mwamba anafagia tu pale hospital ya mkoa wa morogoro.
Funzo: mkioa wake zenu kama hawajaenda shule wapeni semina elekezi ya vitu nyeti ndani ya nyumba mfano vyeti vya kitaaluma na hati za ardhi aziheshimu. Usije ukakuta siku kavitia vyote kiberiti.
Sii vinapatikana hivyo mbona...ukirudi kwenye academic institutions mbona unapata
 
Jamaa mmoja alioa mke asiejua kusoma wala kuandika ikatokea siku moja mke akaamua kufanya usafi ndipo alipochoma academic certificates za mumewe akijua ni makaratasi. Mme alipokuja alipomuuliza mkewe akajibu kimasihara nimechoma makaratasi pamoja na matakataka pale chumbani. Jamaa alilia kama mtoto mdogo. Kwasasa mwamba anafagia tu pale hospital ya mkoa wa morogoro.
Funzo: mkioa wake zenu kama hawajaenda shule wapeni semina elekezi ya vitu nyeti ndani ya nyumba mfano vyeti vya kitaaluma na hati za ardhi aziheshimu. Usije ukakuta siku kavitia vyote kiberiti.
Alafu wee utakuwa unawafagilia hawa wanawake wasomi...bro hao hatuoi...ni majanga tuuu. Bora hao wa form four failures lakini sio hawa wa degree zao sijui cpa. Nyodo kama zote
 
Scan vyeti vyote kuanzia cha kuzaliwa academic Certificates cha ndoa vya watoto na makolokolo mengine then tupia kwa email, Google drive na njia nyingne..., hapo kitabaki wewe tu na kichwa chako...
NB: kuna baadhi ya sehemu wanataka kuona original certificate....
 
Sababu ya kua mfagiaji ni ipi?? Kabla alikua ana kazi gan??
Story kama ya kijiweni hii. Certificates zinapatikana simpo tu ni swala la kuandika loss report
 
Scan vyeti vyote kuanzia cha kuzaliwa academic Certificates cha ndoa vya watoto na makolokolo mengine then tupia kwa email, Google drive na njia nyingne..., hapo kitabaki wewe tu na kichwa chako...
NB: kuna baadhi ya sehemu wanataka kuona original certificate....
Unawapa copy hawataki waende mamlaka husika wakahakiki serial number.
 
Jamaa mmoja alioa mke asiejua kusoma wala kuandika ikatokea siku moja mke akaamua kufanya usafi ndipo alipochoma academic certificates za mumewe akijua ni makaratasi. Mme alipokuja alipomuuliza mkewe akajibu kimasihara nimechoma makaratasi pamoja na matakataka pale chumbani. Jamaa alilia kama mtoto mdogo. Kwasasa mwamba anafagia tu pale hospital ya mkoa wa morogoro.
Funzo: mkioa wake zenu kama hawajaenda shule wapeni semina elekezi ya vitu nyeti ndani ya nyumba mfano vyeti vya kitaaluma na hati za ardhi aziheshimu. Usije ukakuta siku kavitia vyote kiberiti.
Hii ni chai bila kiungo.
Inawezekanaje vyeti viwekwe hovyo kama kondomu au pedi?
 
Jamaa mmoja alioa mke asiejua kusoma wala kuandika ikatokea siku moja mke akaamua kufanya usafi ndipo alipochoma academic certificates za mumewe akijua ni makaratasi. Mme alipokuja alipomuuliza mkewe akajibu kimasihara nimechoma makaratasi pamoja na matakataka pale chumbani. Jamaa alilia kama mtoto mdogo. Kwasasa mwamba anafagia tu pale hospital ya mkoa wa morogoro.
Funzo: mkioa wake zenu kama hawajaenda shule wapeni semina elekezi ya vitu nyeti ndani ya nyumba mfano vyeti vya kitaaluma na hati za ardhi aziheshimu. Usije ukakuta siku kavitia vyote kiberiti.
Hii movie nishawahi kuiona. Si ni ya Kinigeria?
 
Kwa nini mnakaa kizamani? Una certify vyeti vyako toka toka kile cha komonio, then una upload kwenye OneDrive (cloud). vyote vya ndoa, mashamba, hati za nyumba, vya shule nk
 
Back
Top Bottom