Mkuu unajua utaratibu lakini au unaongea kimasihara ? Kumbuka nilazima kwanza ukatoe taarifa hizi mpaka kwenye magazeti ya tanzania na maprosesi kibao unadhani kila mtu anaweza ku afford hizi gharama? Achilia mbali kujua mlolongo wote step by step.Sii vinapatikana hivyo mbona...ukirudi kwenye academic institutions mbona unapata
Hee heri nifie jera 😂 uchome sup zanguJamaa mmoja alioa mke asiejua kusoma wala kuandika ikatokea siku moja mke akaamua kufanya usafi ndipo alipochoma academic certificates za mumewe akijua ni makaratasi. Mme alipokuja alipomuuliza mkewe akajibu kimasihara nimechoma makaratasi pamoja na matakataka pale chumbani. Jamaa alilia kama mtoto mdogo. Kwasasa mwamba anafagia tu pale hospital ya mkoa wa morogoro.
Funzo: mkioa wake zenu kama hawajaenda shule wapeni semina elekezi ya vitu nyeti ndani ya nyumba mfano vyeti vya kitaaluma na hati za ardhi aziheshimu. Usije ukakuta siku kavitia vyote kiberiti.
Hatari...sii mchezoMkuu unajua utaratibu lakini au unaongea kimasihara ? Kumbuka nilazima kwanza ukatoe taarifa hizi mpaka kwenye magazeti ya tanzania na maprosesi kibao unadhani kila mtu anaweza ku afford hizi gharama? Achilia mbali kujua mlolongo wote step by step.
anazani vyeti ni makalio😂Kaulize tena huko ulikoambiwa vyeti vinapatikana kirahisi hivyo.
Kwasasa mwamba anafagia tu pale hospital ya mkoa wa morogoro
Mtoa post hana akili , Kwa hiyo baada vyeti vya jamaa kuungua walimshusha cheo kitu ambach si sahihiSababu ya kua mfagiaji ni ipi?? Kabla alikua ana kazi gan??
Story kama ya kijiweni hii. Certificates zinapatikana simpo tu ni swala la kuandika loss report
taratibu zpo kila sehemu, hata majumbani kwetu tunaweka taratibu mbalimbali, kimsingi cheti kikiungua au kikipotea kuna taratibu zipo ukizofuata unapatiwa cheti kingine au document ya kuthibitisha kwamba una elimu hiyo.Mkuu unajua utaratibu lakini au unaongea kimasihara ? Kumbuka nilazima kwanza ukatoe taarifa hizi mpaka kwenye magazeti ya tanzania na maprosesi kibao unadhani kila mtu anaweza ku afford hizi gharama? Achilia mbali kujua mlolongo wote step by step.
Bro sisi sio wajinga? Hapa sio issue ya kutaka kutuaminisha kuwa unasema ukweli au la. Jambo unalozungumza halipo ndio maana nakuambia hivyo.Napata faida gani kwamfano nikisema uongo?
Ndio ujishangae mwenyewe .Napata faida gani kwamfano nikisema uongo?
Kama ukiwa huna kazi na unatafuta kazi vyeti original ni muhimi.Kutokuwa na vyeti original ni sawa na mwanaume mwenye mkono wa Sweta mbele ya pisi
Hebu tuonyeshe wapi niliposema jamaa kashushwa cheo kuwa mfagizi kisa kaunguliwa na vyeti nyie ndio walimu mnaofundisha watoto wetu halafu mko empty headed tabularasa ndio mnaosemwa na Mpwayungu Village kila siku.Ndio ujishangae mwenyewe .
Haiwezekani mtu kushushwa cheo na kuwa mfagiaji kosa eti vyeti original vimeungua moto nyumbani. Hakuna kitu kama hivyo.
Hata kwenye zoezi la uhakiki wa vyeti vya watumishi tulitumia nakala ya vyeti vilivyokuwa kwenye mafaili ya watumishi nakala ya cheti ndio ilipelekwa necta kuhakikiwa na sio cheti original.
Kimsingi ukishapata ajira ukaamua kutulia kwenye ajira hiyo unaweza usitumie tena cheti chako hicho ulichopatia kazi original for lifWewe ewe
Ndio ujishangae mwenyewe .
Haiwezekani mtu kushushwa cheo na kuwa mfagiaji kosa eti vyeti original vimeungua moto nyumbani. Hakuna kitu kama hivyo.
Hata kwenye zoezi la uhakiki wa vyeti vya watumishi tulitumia nakala ya vyeti vilivyokuwa kwenye mafaili ya watumishi nakala ya cheti ndio ilipelekwa necta kuhakikiwa na sio cheti original.
Kimsingi ukishapata ajira ukaamua kutulia kwenye ajira hiyo unaweza usitumie tena cheti chako hicho ulichopatia kazi original for life
Ujakosea mkuuHuyo atakua mke wa Mangi shangali
Yeye na mkewe wote ni pwagu na pwaguzi.
Mpuudhi tu wewe halafu unaelekea hata hujasoma.Hebu tuonyeshe wapi niliposema jamaa kashushwa cheo kuwa mfagizi kisa kaunguliwa na vyeti nyie ndio walimu mnaofundisha watoto wetu halafu mko empty headed tabularasa ndio mnaosemwa na Mpwayungu Village kila siku.
Huo utaratibu upo kwenye vyeti vinavyotolewa na necta tu. Vyeti vinavyotolewa na taasisi nyingine hakuna takwa hiloUkipoteza vyeti taarifa lazima uipeleke kwenye matangazo ya magazeti na picha yako itolewe magazetini ndio utaratibu.