Mke ajiua kwa sumu ya Wadudu baada ya kupekua na kusoma SMS kwenye simu ya mumewe

Mke ajiua kwa sumu ya Wadudu baada ya kupekua na kusoma SMS kwenye simu ya mumewe

Hapo Mwamposa ametoa "opinions" zake, kadri anavyojisikia au kuona inamfaa yeye. Alichokiongea sio sheria, tena sio neno la Mungu; na sio SI UNIT ya ndoa zote ulimwenguni. Whatever suits him...

Nilitegemea Watumishi wa Mungu wawakumbushe waumini wao juu ya umuhimu wa kutunza viapo vyao vya ndoa na kuwa waaminifu kwa wenzi wao; na sio kukimbilia kuwaambia wanawake wasishike simu za waume wao. Hivi kati ya simu na sehemu za siri ni kipi kinatakiwa kitunzwe na kufichwa zaidi? Sehemu zako za siri unaziweka wazi kama public pizza afu simu ndiyo unajifanya Ina umuhimuuuu.

Tunalea kizazi cha hovyo kwelikweli cha watoto wa kiume ambao definitely watakuja kuwatreat wake zao kama options. Waume wafanye tu wanavyojisikia, na wake hawana options nyingine zaidi ya kuvumilia. Ndiyo maana uzeeni wanaume wengi wana -suffer kwelikweli ilihali wake zao wananawiri tu. What you sow in your wife in your youth; you shall reap it in your old age.

Afu sielewi kwa nini mnataka mwanamke aliyeachwa (divorcee) aone aibu kwa kuachwa/kuacha. Yes ni aibu kama ulifanya ujinga ukaachwa au ulitafuta sababu ya kijinga ili kuvunja ndoa yako; ila kwa mwanamke mwenye akili zake timamu; aliyekaa chini akatafakari na kuona kuwa hiyo ndoa ni threat kwa afya yake ya kiroho, kimwili, kihisia na hata kiuchumi; basi divorce ni uamuzi sahihi kwake.

Afu tusitake ionekane as if kila divorce ikitokea mwanamke ndiye ana-lose; wanaume kibao wameishia kupata depression pia kwa sababu ya kuachwa. Ingawa mbele za watu wanajifanya kujitutumua kuwa hawaumii na wamemove wamevuta vifaa vipya; deep down wanateketea. Tafuta wanawake walioolewa na divorcees afu wakusimulie maisha wanayoishi nao; majority are very very bitter; utalipia uchungu wake wa kuachwa as if wewe ndiyo ulimuacha.

Zamaradi Mketema alipambana weeh na wake wenzie kwa Marehemu Ruge; mwisho akanyoosha mikono juu. Leo yupo zake na Mzee wa "ulisi" na ndoa yao, wanalea watoto wao kwa amani. Kaheshimika from baby momma of father Abraham to a married woman.

Queen Masanja huyo kalilia talaka yake, sasa hivi maisha yake yanamuendea kwa amani. Anafanya vitu, anaishi maono na ndoto zake ambazo asingeweza kuziishi kama angeendelea na ndoa yake na Dr Mwaka. So inategemea na utashi wa mwanamke husika; sio kila mtu anapoteza akidivorce. Wengine wanang'ang'ana kwelikweli wanaishia kufia ndoa; hasara kwa watoto na wazazi wao.

Halafu mlivyo na uchungu mnaonaga kumnyima mwanamke mali ndiyo kumkomesha. Kuna wanawake ambao wapo willing kuacha kila kitu; anasonga mbele kwa ajili ya amani yake ya moyo; naki hapo na mali zako. Peace of mind is all that matters.. .Msiishi na wake zenu kiubabe ubabe as if their lives revolve around marriage.
Afu usiwe unapoteaga hivo kipenzi mama mtumishi.

Hili andiko limenibariki sana.

Wanaume wanataka wao ndio wafiche simu zao, mwanamke akificha ni Malaya🤣🤣🤣
 
Afu usiwe unapoteaga hivo kipenzi mama mtumishi.

Hili andiko limenibariki sana.

Wanaume wanataka wao ndio wafiche simu zao, mwanamke akificha ni Malaya🤣🤣🤣
Kwenye issue za michepuko, najikutaga tu naitwa hata nikiwa ndotoni.

Teh waache waite majina yote as if yanabadili chochote. ila Kila mtu lazima avune anachokipanda kwa mkewe. Na bado hawajasema......
 
Mtumishi Mwamposa alifundisha kuwa wanawake .... sababu mwanamke eventually ndiye atakuwa victim..... mwingine ukienda kumfumania anakuacha atakwambia umemdhalilisha.
kwani mke akiachwa victim ni mwanamke tu ? Mnufaika wa ndoa ni mwanamke tu? NA wanakuwa wanafanyiwa favor kuolewa ??? kwenye divorce victim ni mwanamke Lwa mujibu wa mtumishi wa Mwamposa.

Kwa nn unadhani mtumishi wa Mwamposa ana upeo wa kukupanga kimawazo na kimaisha, ana elimu gani huyo Mtumishi wa Mwamposa kwanza ????

halafu hili chezo linaweza kuwa foul play vile vile ... lakini kwa Afrika every homicide is suicide, nobody is thinking twice, polisi, raia, waandishi... wote sponge heads.
 
Kama mme na mke hamuaminiani katika ndoa, hakikisheni kila mtu simu yake in password anayoijua yeye mwenyewe!
Hapo mtakuwa salama!
 
kwani mke akiachwa victim ni mwanamke tu ? Mnufaika wa ndoa ni mwanamke tu? NA wanakuwa wanafanyiwa favor kuolewa ??? kwenye divorce victim ni mwanamke Lwa mujibu wa mtumishi wa Mwamposa.

Kwa nn unadhani mtumishi wa Mwamposa ana upeo wa kukupanga kimawazo na kimaisha, ana elimu gani huyo Mtumishi wa Mwamposa kwanza ????

halafu hili chezo linaweza kuwa foul play vile vile ... lakini kwa Afrika every homicide is suicide, nobody is thinking twice, polisi, raia, waandishi... wote sponge heads.
Eeh huku kwetu ndoa ni ya mwanamke; wanaume haiwahusu na hata hata wakiachwa hawaumii teh teh
 
Ni kukosa Hekima
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa
Kwani angeondoka akaanze maisha mapya si angempendeza muumba zaidi kuliko alichofanya.
 
Kweli,

Na utegemezi,

Angekuwa na hela yake kiasi cha kuwa huru kifedha asingalifanya hayo angeondoka zake aishi ajitegemee.
Labda aishi peke yake, lakini kwa wanaume wetu hawa waliozaliwa kutoka kwenye tumbo la mwanamke sijui ataondoka mara ngapi!!!
 
Unasema tu babu hujui alichokikuta,ukute alikuta anatetwa jinsi afanyavyo mapenzi mpaka maumbile ya uccchii wake...'huyo mke wangu hakuna kitu,mimaji tu,anakata kiuno upande mmoja,mashavu ya k yapo upande Kama mvuta ugolo,yaani anattombbanna Kama zombie...'..katika vitu ambavyo mwanamke humuumiza ni kiyasema vibaya maumbile yake yaani k-utam
Hata ningekuta hayo siwezi kutoa uhai wangu. Sioni kitu chochote ambacho ningekikuta kwenye simu kisababishe nijiue.
 
kwani mke akiachwa victim ni mwanamke tu ? Mnufaika wa ndoa ni mwanamke tu? NA wanakuwa wanafanyiwa favor kuolewa ??? kwenye divorce victim ni mwanamke Lwa mujibu wa mtumishi wa Mwamposa.

Kwa nn unadhani mtumishi wa Mwamposa ana upeo wa kukupanga kimawazo na kimaisha, ana elimu gani huyo Mtumishi wa Mwamposa kwanza ????

halafu hili chezo linaweza kuwa foul play vile vile ... lakini kwa Afrika every homicide is suicide, nobody is thinking twice, polisi, raia, waandishi... wote sponge heads.



Ni kutokana Na uzoefu alonao,

Wanawake wengi ndio wanaoenda kumuona kufanya maombi warejee kwa wanaume wao wakati hakuna Mwanaume anaye kwenda kumuona kuomba kufanyiwa maombi ya wake zao wawajeree.

Upo ?!
 
Eeh huku kwetu ndoa ni ya mwanamke; wanaume haiwahusu na hata hata wakiachwa hawaumii teh teh
Of course ndoa ni swala linalompa favor zaidi mwanamke kuliko mwanaume, hasa baada ya kupitishwa sheria lukuki zinazomlinda mwanamke ndani ya ndoa dhidi ya mwanaume, ndo maana baadhi ya watu wakaanzisha kampeni za kataa ndoa.
 
Back
Top Bottom