Sheria imeeleza wazi kuwa mwanaume ndio ana wajibu wa kummeintain mke wake na watoto na c mwanamke except in exceptional circumstances... So pambana baba..!!
swali zuri ila lianjibiwa kihuni.Mwenye anajua sheria aseme maana siku zote sheria huwa ni ujanjaujanja tu.Mfano kama mama wa miaka 30 akijihusisha kimapenzi na mvulana wa miaka 14,je huu utaitwa ubakaji ama!?
Sheria imeeleza wazi kuwa mwanaume ndio ana wajibu wa kummeintain mke wake na watoto na c mwanamke except in exceptional circumstances... So pambana baba..!!
Gurunyembe detected........
Mwenye uzi kauliza kama mke akichuma mali ndani ya ndoa ikitokea wakaachana je na mume nayw ana haki ya kudai mgao ??kama ilivozoeleka kwa wanaume, wanawake kudai mgao pale ambapo mambo yanaenda kombo.........Yawezekana na mimi nikiwa na mali pia nilizochuma pamoja na mke wangu ila docs zinasoma jina langu vivo hivyo kwa mama pia anaweza akawa na mali tulizochuma pamoja ila docs zinasoma jina lake.......Sasa hapo mwenye uzi akawa anauliza je na mwanaume ume ana haki ya kudai kama iwavyo kwa mwanamke???...Afu swali langu kwako kulingana na quote yako hapo juu je wajibu wa mwanamke ktk ndoa ni kuzaa watoto pekee?????Kwa hiyo hutaki kupambana...subir mkeo achume tukuone kifua mbele ukienda kudai mgao wa mali za mkeo..mke akuzalie na bado akutafutie Mali shame on u..!!
Mwenye uzi kauliza kama mke akichuma mali ndani ya ndoa ikitokea wakaachana je na mume nayw ana haki ya kudai mgao ??kama ilivozoeleka kwa wanaume, wanawake kudai mgao pale ambapo mambo yanaenda kombo.........Yawezekana na mimi nikiwa na mali pia nilizochuma pamoja na mke wangu ila docs zinasoma jina langu vivo hivyo kwa mama pia anaweza akawa na mali tulizochuma pamoja ila docs zinasoma jina lake.......Sasa hapo mwenye uzi akawa anauliza je na mwanaume ume ana haki ya kudai kama iwavyo kwa mwanamke???...Afu swali langu kwako kulingana na quote yako hapo juu je wajibu wa mwanamke ktk ndoa ni kuzaa watoto pekee?????
Ngoja nikae hapa ili nisikilize jinsi ya kugawana mali nikiachana na mke wangu