upupu
JF-Expert Member
- Apr 15, 2008
- 614
- 198
- Thread starter
- #21
Sheria imeeleza wazi kuwa mwanaume ndio ana wajibu wa kummeintain mke wake na watoto na c mwanamke except in exceptional circumstances... So pambana baba..!!
Unajuaje kuwa mimi ni mwanaume!? Nimeuliza swali kutaka kuelimishwa, kama unajua ulitakiwa kutoa elimu kwa sheria zilivyo ila badala yake unajibu kipashkunaku na kisukununu, eti nitafute vyangu, haya Unajuaje kuwa sina vyangu!? Jibu swali la msingi