Mke aliomba talaka tugawane Mali, nilichomfanyia hajawahi kurudia tena

W WAtoto sasa ndio changamoto au huna watoto wadogo mkuu
 
super story
 
Mimi siku mke wangu naye akidai tuachane na tugawane hii biashara yangu ya majeneza ntamuachia yote tena nakodi fuso kupeleka mzigo wote kwa mshua wake !(sipendagi ujinga)
 
 Masikini...
Huyo dada atajuta maisha yake uote!!

Au labda kuna wake ambao huhisi hela zitaishia kwa michepuko ndio maana huamua kuzifuja.
Acha kabisa omba yasikukute yanauma Sana
Ni upuuzi tu wa mke kaua Mme kirahisi tu Kwa tamaa
 
Mkeo mpuuzi sana kwanza alikukuta tayari una mali hivyo kuzaa nae mtoto mmoja haikua tiketi ya kutaka kugawana mali pasu kwa pasu. Aliziogopa mali zote ulizompa ghafla sababu hakua na akili ya kuziendekeza zaidi ya kushikiwa na ndugu tu
 
Hakika nimejifunza sana,Ahsante kwa ku share story inafundisha,kuelimisha na kukumbushana.
 
Sio kila kitu cha kumshirikisha mkeo, utaumia.
 
Wewe jamaa ni MUONGO SANA.
 
Yaan unasoma kama unaangalia [emoji327] movie kuna sehem unakaza meno kwa nguvu kuna sehem unajitingisha yaan kasheshe tupu.

Yaan ni taahira au bwege pekee ndio anaweza kupokea mali zile. Ila najiuliza wakat kaka mdg wa mke alipokuwa anatajirishwa na dadake yeye baba mkwe alikuwa haoni? Maana vitu vingine kama Mungu anapanga na anawapiga wengine upofu kwa muda wasilione ili somo lake litimie.. Pokea high 5 DP..!
You blew it...
 
Kumbe ule ugomvi uliozuka kipindi kile nikiwa chaliii ulikuwa wa kwenu...,

Kusema ukweli mm nilipewa baadhi ya vituu na jamaa mmoja hivi alikuwa anapakia mizigo nivifiche alivyokuja kuchukua akinipa buku kila mtu akafa kivyake[emoji23][emoji23][emoji23]
 
NIMEIOENDA SANA HII...BORA KUIAMBIA NA JAMII IKAJUA. KWAMBA NAANZA UPYA MAISHA YA SONGE ILA BEBA KILA KITU
 
Hahahah kumbe ndomana una mchepuko mama j,huyo mama H ni kimeo na nusu😅😅atakuzalia majike yenye tabia zake
 
Kwa sisi Vijana ambao bado hatujafunga ndoa Unatufundisha vitu Muhimu sana Mzee . Ubarikiwe kaka endelea kushusha nyuzi za kuelimisha kama hizi mzee wa posho ya meza Nakubali sana
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…