Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😅Hapo inaonyesha nani anatakiwa avae suruali ndani ya nyumba yake. .
5. Kumbe TV mkiangalia wengi king'amuzi kinawahi kuisha? Hii nilikuwa sijui. Au unamtoza hela housegirl kuangalia TV?Kumlipa housegirl sio issue. Issue ni gharama anazotumia nyumbani kwako ambazo ukizijumlisha zinazidi mshahara wake hata mara tatu (3) kwa mfano:
1. Chumba anacholala kama angepanga angelipa say 50,000 kwa mwezi
2. Umeme anaotumia say kwa mwezi 5,000
3. Maji kwa mwezi 5000
4. Uchakavu wa vitu anavyotumia 5000
5. King'amuzi anachotumia 5000
6. Chakula 6000 x siku 30 = 180,000
Jumla kuu 250,000
Hapo hata kama mshahara atalipa mke bado itakula kwako tu
we jamaa nahisi baada ya umaarufu wa kijinga wa kuwa wa kwanza kujibu kila uzi kuisha sasa unataka kuja kivingine, kuja na style ya kukera watu. Uwe na kifua sasa cha kuhimili mitusi la sivyo utaona JF ngumu.Karibu JF mtandao ambao mtu huleta tatizo lake binafsi kwa kupitia mshikaji/jamaa yake
ha ha noumerYaani hapa JF watu wote wamesoma vyuo vikuu, hapa JF kila mmoja ana gari, hapa JF kila member ashatembea nchi nyingi, hapa JF watu wote hawana matatizo lakini wanawaombea ushauri ndugu au rafiki zao, hapa JF ndio sehemu pekee kila member ni mchambuzi wa soka hadi siasa. Jamii ya JF wamejitosheleza kila kitu
MI NAONA VINATEGEMEANAHela inamaliza matatizo
Huko nimeshavuka siku nyingi, unidhaniavyo sivyo, by the way hunijui sikujui...endelea kuamini unavyoaminiwe jamaa nahisi baada ya umaarufu wa kijinga wa kuwa wa kwanza kujibu kila uzi kuisha sasa unataka kuja kivingine, kuja na style ya kukera watu. Uwe na kifua sasa cha kuhimili mitusi la sivyo utaona JF ngumu.
Mkuu upo sahihi kabisa, sikatai ila ndio hainizuiii kutoa wazo langu kwa jinsi ambavyo naona kama ni sahihi au sio sahihiMi nahisi we unavimelea vya ubishoo....Sioni kama Kuna ubaya,sio lazima tatizo likukute wewe ndio useme hata lamwenzio ni sawa madam kusaidiana kutatua changamoto ,changamoto ni za Kila binadamu zipo tunaishi Nazo azikwepeki...ndio mana kunakushauriana ...
Sawa mfalme njozi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Karibu JF mtandao ambao mtu huleta tatizo lake binafsi kwa kupitia mshikaji/jamaa yake
Usisahau uganga wa jadi na maruhani wataalamu wake wako hapaYaani hapa JF watu wote wamesoma vyuo vikuu, hapa JF kila mmoja ana gari, hapa JF kila member ashatembea nchi nyingi, hapa JF watu wote hawana matatizo lakini wanawaombea ushauri ndugu au rafiki zao, hapa JF ndio sehemu pekee kila member ni mchambuzi wa soka hadi siasa. Jamii ya JF wamejitosheleza kila kitu
Tuanzie kwenye shape na sura ya mdada..!! Maana unaweza kuta mwana anategwaKisa kiko hivi
Mshikaji wangu kaniomba ushauri wa mawazo,kanihadithia issue nzima ilivyo,ila point ya msingi ni kwamba mkewe ameleta housegal nyumbani pasipo kumshirikisha, anasema hapafahamu kwao na huyo binti wala wazazi wake, na pia yeye jamaa hana budget ya kulipa msichana wa kazi kwa sasa kwani mambo yake hayako vizuri,hivyo anashangaa kuletewa mgeni ndani kwake asiyemtambua.
Maamuzi yake yalikua ni kumchapa makofi mkewe na amtimue huyo binti arudi kwao.
Ila mimi nimemtuliza nimemwambia yeye ajifanye mjinga kama hajui lolote linaloendelea aone mwisho wa mwezi kama ataombwa mshahara wa huyo binti ama vipi,hapo ndio afungue mdomo wake sasa.
Nyie wakuu mna ushauri gani kwenye hili suala?
Jambo balo bado si tatizo.. Maana kinachohitajika ni solutionKaribu JF mtandao ambao mtu huleta tatizo lake binafsi kwa kupitia mshikaji/jamaa yake
Yaan mimi nkiona mwanaume akili yake inawaza solution ya haraka ni kumpiga mkewe naona hapa hamna kitu, kila mkeo akikosea unamchapa hvi huyo ni mtoto? Hata watoto hatuwachap kila wakikoseaKisa kiko hivi
Mshikaji wangu kaniomba ushauri wa mawazo,kanihadithia issue nzima ilivyo,ila point ya msingi ni kwamba mkewe ameleta housegal nyumbani pasipo kumshirikisha, anasema hapafahamu kwao na huyo binti wala wazazi wake, na pia yeye jamaa hana budget ya kulipa msichana wa kazi kwa sasa kwani mambo yake hayako vizuri,hivyo anashangaa kuletewa mgeni ndani kwake asiyemtambua.
Maamuzi yake yalikua ni kumchapa makofi mkewe na amtimue huyo binti arudi kwao.
Ila mimi nimemtuliza nimemwambia yeye ajifanye mjinga kama hajui lolote linaloendelea aone mwisho wa mwezi kama ataombwa mshahara wa huyo binti ama vipi,hapo ndio afungue mdomo wake sasa.
Nyie wakuu mna ushauri gani kwenye hili suala?
True, kwa jambo kama hilo inabidi mazungumzo maana ushirikishwaji ni muhimu wakiamua kwa hisia mambo yanaweza kuvurugika na hata jamaa kupoteza focus ya kulea familiaJambo balo bado si tatizo.. Maana kinachohitajika ni solution
HAHAHASawa mfalme njozi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Chukua dukani dumu la mafuta ya alizet najuka kulipa mkuuYaan mimi nkiona mwanaume akili yake inawaza solution ya haraka ni kumpiga mkewe naona hapa hamna kitu, kila mkeo akikosea unamchapa hvi huyo ni mtoto? Hata watoto hatuwachap kila wakikosea
Nakukubali Sana mzeeHAHAHA
Tuko pamoja chief...Nakukubali Sana mzee