Mke ameleta dada wa kazi nyumbani pasipo kumshirikisha mume

Aandae mazingira ya kumla ki masihara mkuu๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹
 
5. Kumbe TV mkiangalia wengi king'amuzi kinawahi kuisha? Hii nilikuwa sijui. Au unamtoza hela housegirl kuangalia TV?
 
Mchizi kaletewa suria a.k.a kijakazi hapo ni yeye.
 
Karibu JF mtandao ambao mtu huleta tatizo lake binafsi kwa kupitia mshikaji/jamaa yake
we jamaa nahisi baada ya umaarufu wa kijinga wa kuwa wa kwanza kujibu kila uzi kuisha sasa unataka kuja kivingine, kuja na style ya kukera watu. Uwe na kifua sasa cha kuhimili mitusi la sivyo utaona JF ngumu.
 
ha ha noumer
 
we jamaa nahisi baada ya umaarufu wa kijinga wa kuwa wa kwanza kujibu kila uzi kuisha sasa unataka kuja kivingine, kuja na style ya kukera watu. Uwe na kifua sasa cha kuhimili mitusi la sivyo utaona JF ngumu.
Huko nimeshavuka siku nyingi, unidhaniavyo sivyo, by the way hunijui sikujui...endelea kuamini unavyoamini

sijajiunga JF kutafuta umaarufu na pia kama kutukanwa unakosema nimeshatukanwa matusi yote na sijaona jipya

Nitoe maoni mimi tena sijatukana mtu halafu ukereke wewe, duuh pole sana.
 
Mkuu upo sahihi kabisa, sikatai ila ndio hainizuiii kutoa wazo langu kwa jinsi ambavyo naona kama ni sahihi au sio sahihi

na ndio maana sikatai kukosolewa
 
Usisahau uganga wa jadi na maruhani wataalamu wake wako hapa
 
Tuanzie kwenye shape na sura ya mdada..!! Maana unaweza kuta mwana anategwa
 
Yaan mimi nkiona mwanaume akili yake inawaza solution ya haraka ni kumpiga mkewe naona hapa hamna kitu, kila mkeo akikosea unamchapa hvi huyo ni mtoto? Hata watoto hatuwachap kila wakikosea
 
Jambo balo bado si tatizo.. Maana kinachohitajika ni solution
True, kwa jambo kama hilo inabidi mazungumzo maana ushirikishwaji ni muhimu wakiamua kwa hisia mambo yanaweza kuvurugika na hata jamaa kupoteza focus ya kulea familia
 
Yaan mimi nkiona mwanaume akili yake inawaza solution ya haraka ni kumpiga mkewe naona hapa hamna kitu, kila mkeo akikosea unamchapa hvi huyo ni mtoto? Hata watoto hatuwachap kila wakikosea
Chukua dukani dumu la mafuta ya alizet najuka kulipa mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ