Pole sana mkuu hii ndo dunia ilivyo. nakushauri tumia busara sana katika utatuzi wa suala linalokukabili kwa wakati huu.Kama mada ilivyo hapo juu. Ameondoka huku akiacha maneno mengi kama vile kutishia kuniua na kwamba hanihitaji tena. Kwa hatua aliyoifikia nami sihitaji kuwa naye tena. Ikiwa nitahitaji talaka rasmi, sheria inasemaje? Naomba msaada kwa wajuzi wa sheria maana nitahitaji kutafuta mke mwingine na sitaki migogoro isiyo ya lazima huko mbeleni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nashukuru kwa ushauri wako.Toa tu taarifa juu ya kutishiwa kuuwawa,then mpige chini.
Philips X2560
Nashukuru. Nilitoa taarifa kwa serikali ya mtaa na waliwataarifu wazazi wake.waambie wazazi wake kwamba mtoto wao kakimbia akipata matatizo unakuwa sehemu salama zaidi maana bila hivyo wao wanajua yupo kwako ila lazima uweke wazi hayo matatizo mliyokuwa nayo.
Ni kweli tunabadilika sana. Tena siyo uhai wangu tu, bali pia katishia wa watoto na kwamba akifanikisha, atajiua na yeye.Dah watu wanabadilika sana, Mliwahi kuitana Sweetheart, Dear, Bae xoxoxoxoxoo halafu ghafla mnafikia kutaka kutoana Uhai?? MUNGU awabariki
Asante sana kwa ushauri wako. Nakusudia kufanya hivyo, lakini nahitaji kujua hatua za awali kuchukuliwa kutokana na mazingira niliyoeleza.
Asante sana kwa ushauri wako.Mtafute umrudishe kwao kwanza apotee akiwa kwao bila hvyo watakubana wewe
Asante sana. Ubarikiwe.Pole sana mkuu hii ndo dunia ilivyo. nakushauri tumia busara sana katika utatuzi wa suala linalokukabili kwa wakati huu.
Nashukuru sana mkuu kwa kunifumbua macho kiasi chake. Kama ungeniruhusu nikutembelee pm ningebarikiwa zaidi.Sheria ya ndoa ya mwaka71 na vifungu vyake vinaeleza kuwa talaka inaweza kutolewa na ndoa kutangazwa kuwa imevunjika endapo mmoja wenu atakuwa eidha amefumaniwa bila kificho au kumuambukiza mwenzie magonjwa ya zinaa kwa makusudi au kumfanyia mwenzako vitendo vingine vya ukatili visivyovumilika. Nakushauri fanya utaratibu umtafute halafu kati ya hayo niliyotaja kama kuna mojawapo kalifanya basi unaweza kutoa talaka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama hadi kafikia hatua hiyo mna tatzo kubwa sana hebu lipunguzeni kwanza hilo ttz ili hatua zingine zifuateNi kweli tunabadilika sana. Tena siyo uhai wangu tu, bali pia katishia wa watoto na kwamba akifanikisha, atajiua na yeye.
Sent using Jamii Forums mobile app