navache
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 499
- 368
Kama mada ilivyo hapo juu. Ameondoka huku akiacha maneno mengi kama vile kutishia kuniua na kwamba hanihitaji tena. Kwa hatua aliyoifikia nami sihitaji kuwa naye tena. Ikiwa nitahitaji talaka rasmi, sheria inasemaje? Naomba msaada kwa wajuzi wa sheria maana nitahitaji kutafuta mke mwingine na sitaki migogoro isiyo ya lazima huko mbeleni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app