Chapa Nalo Jr
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 7,518
- 6,506
Sema ndugu wewe sauti ya ngapi vile!?
Wandugu nishakuwa na jirani yangu mke ana sauti nzito kweli kweli na mme ana kasauti kepesi tu, mwanamke ameumbika vizuri sana tu ila hiyo sauti ya besi ndio hoja yangu. Ukiwa unapita nje halafu wao wako ndani wanaongea, inachanganya!
Hivi kama mwanaume unajisikiaje kuwa na mke mwenye sauti nzito kinoma wakati wewe sauti ya pili!? Najua ni maumbile hawajitakii, lakini je wajikiaje? Na miguno yake pengine hata wakati wa shughuli ni besi pia.
Tatizo ni pale mwanaume anapoomba mchezo na kubembeleza kwa sauti nyembamba na mwanamke anapochelewesha na kujitetea kwa sauti nzito. Patamu hapo!
Ukiona hivyo ujue ni besi lol
Mkuu kila kitu kina uzuri wake sikatai lakini hata sauti ikiwa unique pia kuna uzuri wake hebu msikilize huyumkuu, mwanamke ni sauti nyororo bana,
dem akiwa na sauti bass, time ya kudinjana
bora anyamaze kimyaa, otherwise hata ile
shaft inaweza ku-drop dead isinyanyuke:sad:
Mkuu kila kitu kina uzuri wake sikatai lakini hata sauti ikiwa unique pia kuna uzuri wake hebu msikilize huyu
YouTube - And Still I Rise
YouTube - Maya Angelou 1993 Bill Clinton Inauguration
au Toni Braxton kwenye another sad love song..., sio nyororo lakini ina utamu wake..., au ile ya Halima Mdee....
Sometimes been different kuna utamu wake..
Mkuu kila kitu kina uzuri wake sikatai lakini hata sauti ikiwa unique pia kuna uzuri wake hebu msikilize huyu
YouTube - And Still I Rise
YouTube - Maya Angelou 1993 Bill Clinton Inauguration
au Toni Braxton kwenye another sad love song..., sio nyororo lakini ina utamu wake..., au ile ya Halima Mdee....
Sometimes been different kuna utamu wake..
Hahahah and voiceofreason is displaying a myriad of voices!! For me, I take it to understand those with bass (ladies) r extra wise..and command respect.. U know..unasalute bila yy kukuambia
Hawa wana tu-besi, mimi namaanisha besi nzito kweli kweli, mfano kama ya Masoud Masoud wa Redio Uhuru. Kuna mifano ya wanaume wenye besi lakini bahati mbaya sio maarufu hata nikiwataja hapa. Ila mama Maya naye akitulia bila kuweka madoido ya kike ana besi kiasi chake.
Wandugu nishakuwa na jirani yangu mke ana sauti nzito kweli kweli na mme ana kasauti kepesi tu, mwanamke ameumbika vizuri sana tu ila hiyo sauti ya besi ndio hoja yangu. Ukiwa unapita nje halafu wao wako ndani wanaongea, inachanganya!
Hivi kama mwanaume unajisikiaje kuwa na mke mwenye sauti nzito kinoma wakati wewe sauti ya pili!? Najua ni maumbile hawajitakii, lakini je wajikiaje? Na miguno yake pengine hata wakati wa shughuli ni besi pia.
Wandugu nishakuwa na jirani yangu mke ana sauti nzito kweli kweli na mme ana kasauti kepesi tu, mwanamke ameumbika vizuri sana tu ila hiyo sauti ya besi ndio hoja yangu. Ukiwa unapita nje halafu wao wako ndani wanaongea, inachanganya!
Hivi kama mwanaume unajisikiaje kuwa na mke mwenye sauti nzito kinoma wakati wewe sauti ya pili!? Najua ni maumbile hawajitakii, lakini je wajikiaje? Na miguno yake pengine hata wakati wa shughuli ni besi pia.