Truth Matters
JF-Expert Member
- Apr 12, 2013
- 2,302
- 4,603
Mke siyo Nguo kuwa utaenda Dukani ukanunua............................Acha utoto..............!!!!Kama kichwa kinavyojieleza..
Natafuta mwanamke aliyetayari kuolewa in 6 months
Sifa:
Sifa zangu
- Muislam
- Hajazaa
- Between 20-30 yrs
- Si mnene, mrefu mweupe ni sifa ya ziada
- Elimu yeyote
- HIV free
Aliye serious tu ani PM
- Muislam
- Elimu Post-graduate
- 35 years of age
- HIV free
- Naishi Dar
Da we fala unavyonadi kutafuta mke kama unatafuta Vitz bhana[emoji1] [emoji1] [emoji1]Kama kichwa kinavyojieleza..
Natafuta mwanamke aliyetayari kuolewa in 6 months
Sifa:
Sifa zangu
- Muislam
- Hajazaa
- Between 20-30 yrs
- Si mnene, mrefu mweupe ni sifa ya ziada
- Elimu yeyote
- HIV free
Aliye serious tu ani PM
- Muislam
- Elimu Post-graduate
- 35 years of age
- HIV free
- Naishi Dar
natafakari kwa harakaharaka hapa km yy mwenyewe alivyokuwa na haraka nafikili ni mwalimu, vipi brother unataka kuandika barua ya maombi ya fedha za nauli ya likizo unataka kuambatanisha na cheti cha ndoa ?,maana hiyo haraka haraka imezidi aiseee.nakutakia Kila la kheri