Mke Anahitajika haraka

Mke Anahitajika haraka

Habari wakuu?Npo serious Nahitaji binti wa kuoa, itapendeza akiwa mwalimu age (20-26) aje tufanye maisha, binafsi mm n mfanyakaz serikalini. Itapendeza zaidi akiwa mkoa wa mbeya au mikoa ya jirani. Ukiwa tayar please nchek inbox tuyajenge.
. . Asanteni


Huku jf ni sawa na mtaani unaposhi, hutapata mke, sanasana utapata wadada watakaokuchuna pesa selemangrace346
 
Habari wakuu?Npo serious Nahitaji binti wa kuoa, itapendeza akiwa mwalimu age (20-26) aje tufanye maisha, binafsi mm n mfanyakaz serikalini. Itapendeza zaidi akiwa mkoa wa mbeya au mikoa ya jirani. Ukiwa tayar please nchek inbox tuyajenge.
. . Asanteni
kuna mtu yupo apo mama john kwanza nikuunganishe naee!
 
Habari wakuu?Npo serious Nahitaji binti wa kuoa, itapendeza akiwa mwalimu age (20-26) aje tufanye maisha, binafsi mm n mfanyakaz serikalini. Itapendeza zaidi akiwa mkoa wa mbeya au mikoa ya jirani. Ukiwa tayar please nchek inbox tuyajenge.
. . Asanteni
hahahahahaha hhh, hahahahahaahha, hahaha hhhhhhhhh, unatafuta mke JF.
 
Back
Top Bottom