Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
😂 mpaji wa Mungu unaachaje kuwa malaikaNan alikwambia mm malaika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂 mpaji wa Mungu unaachaje kuwa malaikaNan alikwambia mm malaika
Nielekeze.We una shida, unamtafuta mke humu? Usijelaumu.
Hilo jina tu ila ukikutana na mm utani-rename😂 mpaji wa Mungu unaachaje kuwa malaika
😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣 huyo shem haeleweki anatafuta kuvunja udugu wetu
Hi tunawexa chatMimi ni:
Kujana: 35
Sija wahi kuoa:
Sina mtoto:
Mjasiria Mali:
Nina shahada ya kwanza.
Niko, Ilala, DSm.
Sina kitambi , mrefu wa wastani.
Dini : mkristo.
Sifa za mke mtarajiwa
Awe:
Mzima wa afya.
Na hofu ya Mungu.
Na Elimu angalau ya kujua kusoma na kuandika au zaidi.
Na kazi inayompatia kipato.
Dini yoyote ya kumcha Mungu.
Karibu sana Kwa aliyedhamiria( serious). PM
Sawa mkuuHilo jina tu ila ukikutana na mm utani-rename
Ni PMHi tunawexa chat
OkHi tunawexa chat
Soma Biblia, Agano jipya, Injili.Mmmh kaka samahani unatulisha matangopori,Yesu alisema wapi hayo maneno?🤔
OkShahada kama shahada
Miaka ya sifa za mke mtarajiwa haujaweka mkuuMimi ni:
Kijana: 35
Sija wahi kuoa:
Sina mtoto:
Mjasiria Mali:
Nina shahada ya kwanza.
Niko, Ilala, DSm.
Sina kitambi , mrefu wa wastani.
Dini : mkristo.
Sifa za mke mtarajiwa
Awe:
Mzima wa afya.
Na hofu ya Mungu.
Na Elimu angalau ya kujua kusoma na kuandika au zaidi.
Na kazi inayompatia kipato.
Dini yoyote ya kumcha Mungu.
Karibu sana Kwa aliyedhamiria( serious). PM
Miaka yoyote ruksa.Miaka ya sifa za mke mtarajiwa haujaweka mkuu
😂😂😂😂Hupendi ujinga..nenda PM dada hapa sio poaHi tunawexa chat
Narudia Tena hayo sio maneno ya Yesu,ni ya mwanafunzi wa Yesu anaitwa Yakobo....nilishakuandikia Hadi mstari kwenye Hilo agano jipyaSoma Biblia, Agano jipya, Injili.
Twaweza kuwasiliana au ushapata mtuMimi ni:
Kijana: 35
Sija wahi kuoa:
Sina mtoto:
Mjasiria Mali:
Nina shahada ya kwanza.
Niko, Ilala, DSm.
Sina kitambi , mrefu wa wastani.
Dini : mkristo.
Sifa za mke mtarajiwa
Awe:
Mzima wa afya.
Na hofu ya Mungu.
Na Elimu angalau ya kujua kusoma na kuandika au zaidi.
Na kazi inayompatia kipato.
Dini yoyote ya kumcha Mungu.
Karibu sana Kwa aliyedhamiria( serious). PM
Tunawexa kuwasiliana niko seriousMimi ni:
Kijana: 35
Sija wahi kuoa:
Sina mtoto:
Mjasiria Mali:
Nina shahada ya kwanza.
Niko, Ilala, DSm.
Sina kitambi , mrefu wa wastani.
Dini : mkristo.
Sifa za mke mtarajiwa
Awe:
Mzima wa afya.
Na hofu ya Mungu.
Na Elimu angalau ya kujua kusoma na kuandika au zaidi.
Na kazi inayompatia kipato.
Dini yoyote ya kumcha Mungu.
Karibu sana Kwa aliyedhamiria( serious). PM