Tatizo mishangazi ikikosa hela inakuwa na gubu hiyo. Full kutiana mi stress.Muhimu kuishi kwa upendo
Aha ha ah hatari sana. Unatafura mchawi wa kukua naona.Nahitaji mke mkristo. Umri nimeutaja hapo juu. Awe na hofu ya Mungu na asiwe mlevi wa pombe. Mwenye upendo na nia thabiti y kujenga mahusiano imara na mume wake. Ana nia ya kufurahia ndoa yake na kunifanya mm mume wake mwenye furaha. Umri wangu ni miaka 45, mwajiriwa.
Why?Aha ha ah hatari sana. Unatafura mchawi wa kukua naona.
AiseeTatizo mishangazi ikikosa hela inakuwa na gubu hiyo. Full kutiana mi stress.
Mmeanza ππKwa umri huo unaotaka wewe, humu ushindwe wewe tu.
Ila uwe tayari kupenda ua na boga lake, maana humu ni full masingo maza.
kulingana na comment zako kwa jamii kupitia hii post yako sijafurahishwa na baadhi ya majibu yako kutokana na kuwa negative sana ya ugomvi ugomvi.Aisee
Kama anamshabikia Lisu basi anioe aiseMke utapata sema acha kumshabikia lissu mkuu π
Ila jamii forums mtu anapost Uzi wake serious Ila sasa comments π€£
Utapata mwaya. Kila aombaye hupata.
Nje ya Mada: Huu uzi Angekuwa amepost mwanamke angeshatakiwa kujaza full scape ya kwanini amechelewa kupata mwenza na comments za kejeli kibao. Kweli nafasi ya mwanamke katika jamii hasa aliyevuta kuolewa ni ya kufikirisha.
ππ shabiki wa Lissu huyu, wewe uko tayari ruka naeKama anamshabikia Lisu basi anioe aise
Miaka 45 bado hajaoa?I'm sitting this one out π
Kwangu mimi hiyo age ni red flag
Sasa hivi inabidi kiwekwe kipengele cha βMenoβ aina ya meno mume au Mke aliyonayo MfanoNipo hapa mzee baba!
sππ shabiki wa Lissu huyu, wewe uko tayari ruka nae