Wapendwa,
Natafuta mwanamke wa kuanzisha naye mahusiano. Lengo ni urafiki ambao natamani uende hadi katika ndoa. Hata hivyo kama hautafikia ndoa basi nitaelewa tu. Lakini mimi niko tayari kuoa hata mwaka huu huu ikiwezekana.
Kimsingi mimi mwenyewe ni mwanaume wa miaka 33
- Elimu ya chuo kikuu
- Nimeajiriwa
- mrefu kiasi, mnene kiasi
Sitaki kuweka vigezo vigumu kwa mwanamke / binti anayetaka kuwa na mimi. Yeyote aliyetayari aje PM. Maelezo mazuri ndiyo jambo nalopenda. Ukitanguliza picha utakuwa umefanya la maana sana.
Njoo PM.
Asante
Natafuta mwanamke wa kuanzisha naye mahusiano. Lengo ni urafiki ambao natamani uende hadi katika ndoa. Hata hivyo kama hautafikia ndoa basi nitaelewa tu. Lakini mimi niko tayari kuoa hata mwaka huu huu ikiwezekana.
Kimsingi mimi mwenyewe ni mwanaume wa miaka 33
- Elimu ya chuo kikuu
- Nimeajiriwa
- mrefu kiasi, mnene kiasi
Sitaki kuweka vigezo vigumu kwa mwanamke / binti anayetaka kuwa na mimi. Yeyote aliyetayari aje PM. Maelezo mazuri ndiyo jambo nalopenda. Ukitanguliza picha utakuwa umefanya la maana sana.
Njoo PM.
Asante