Von_Lufuta
JF-Expert Member
- Mar 19, 2023
- 1,528
- 3,641
Mimi najua sifa zote ninazihitaji unazo. Ninatafuta pia. May you come into my inbox please?Ah mtu ambaye haweki vigezo naogopa sana. Unaenda pm anakwambia mi sipend vibonge work done is equal to zero
Kwan wife material hawez miliki smart akaingia jf. Au wanawake wa jf ni sky people mkuu?Wewe ebu wacha illusions hapa mwanamke wife material huko mtaani sie wanaume hatumuoni? Kwani sie vipofu
Why me why not you? This aint our culture. And am sure am not your type of womanMimi najua sifa zote ninazihitaji unazo. Ninatafuta pia. May you come into my inbox please?
Because you're Chubby??πππWhy me why not you? This aint our culture. And am sure am not your type of woman
Kumiliki smart fone kumekujaje tena....Kwan wife material hawez miliki smart akaingia jf. Au wanawake wa jf ni sky people mkuu?
Thats among. There are moreBecause you're Chubby??πππ
We leta sabb why hamna wife material humuKumiliki smart fone kumekujaje tena....
Basi nenda tu kwa huyo jamaaThats among. There are more
Wife material wameolewa tayariWe leta sabb why hamna wife material humu
Jidanganye. Bas wanaotaka kuoa wangekufa single sabb wanawake wameishaWife material wameolewa tayari
Akha. Kama nmepangiwa ntampata kokote. Si unaona ww umezira ksa sijaja pmBasi nenda tu kwa huyo jamaa
Ukajua serious masikiniAkha. Kama nmepangiwa ntampata kokote. Si unaona ww umezira ksa sijaja pm
Haya sasaUkajua serious masikini
Hadi yeye mwenyewe kachekaπNa wewe umeandika nn ss malipo dunianπππ
ππππ, hujakosea kituBro jf hamna wanawake wakuoa utakuja lia bure. Au wee mpenzi wa mitumbaπ€£π€£π€£π€£
π π πBro jf hamna wanawake wakuoa utakuja lia bure. Au wee mpenzi wa mitumbaπ€£π€£π€£π€£
Mume huyo acha kucheka na mzabzab jitonbozoshe hapo uoleweπ π π
Hivi mtu unaweza ukafaham kuhusu NDOA na haupo kwenye ndoa au unahitaji mtu aliewahi kuolewa akaachika?Sina nengi zaidi ya hilo mika yangu 38 masawali na majibu njoo pm .kigezo namba moja hekima na ufahamu kuhusu ndoa
Sawa ππMume huyo acha kucheka na mzabzab jitonbozoshe hapo uolewe