Mke anahitajika wa ndoa

Mke anahitajika wa ndoa

Sina nengi zaidi ya hilo mika yangu 38 masawali na majibu njoo pm .kigezo namba moja hekima na ufahamu kuhusu ndoa
𝕎𝕖𝕨𝕖 𝕞𝕦𝕚𝕤𝕝𝕒𝕞 𝕒𝕦 𝕞𝕜𝕣𝕚𝕤𝕥𝕠?
 
Mie nna wajukuu kibao wakuolewa, lakini nimewaambia wakome kabisa kutaka kuolewa na Watanzania.

Wasubiri Waarabu wa DP World. Washaanza kuingia Mambo kwa Dirham siku hizi.
Wajukuu wenyewe hawapigiwi wanacheza, naona vi lsafari vya eyapoti javiishi siku hizi, naona ndege za Emirates, za Qatar,za Oman, za Saudia wanajuwa mpaka zinaingia lini na saa ngapi.
 
Mie nna wajukuu kibao wakuolewa, lakini nimewaambia wakome kabisa kutaka kuolewa na Watanzania.

Wasubiri Waarabu wa DP World. Washaanza kuingia Mambo kwa Dirham siku hizi.
Wajukuu wenyewe hawapigiwi wanacheza, naona vi lsafari vya eyapoti javiishi siku hizi, naona ndege za Emirates, za Qatar,za Oman, za Saudia wanajuwa mpaka zinaingia lini na saa ngapi.
Bora utuachie Watanzania tuwaoe, Waarabu watawaharibu kwa kuruka ukuta.
 
Damn straight am gona be single till i die
Sawa. Huu ni uamuzi wako binafsi. Hakuna aliyekulazimisha kuamua hivi. Sasa usitumie nguvu kubwa sana kuaminisha wanaume wengine kuwa hakuna wanawake wa kuoa.
 
Sawa. Huu ni uamuzi wako binafsi. Hakuna aliyekulazimisha kuamua hivi. Sasa usitumie nguvu kubwa sana kuaminisha wanaume wengine kuwa hakuna wanawake wa kuoa.
😲😲😲😲 Wapi nimesema hakuna wanawake wakuoa? Kabul kandahar herat jalalabad wamejaa wanawake kibao wakuoa tena kitu sealed
 
[emoji44][emoji44][emoji44][emoji44] Wapi nimesema hakuna wanawake wakuoa? Kabul kandahar herat jalalabad wamejaa wanawake kibao wakuoa tena kitu sealed
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] wewe noma sana
 
Back
Top Bottom