Wako wapi? Mbona siwaoniWengine walipata hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wako wapi? Mbona siwaoniWengine walipata hapa
Kweli una bahati mzeyaNimekupa ushuhuda huo, atakuja mwingine asiye mwoga nae atamwaga ushuhuda wake. 10+yrs of knowing each other mkuu.
BoxiMie najiona kama mzabzab kwani wewe unanionaje
Sawa ni vyenye unaona so siwezi bishana na weweBoxi
𝕎𝕖𝕨𝕖 𝕞𝕦𝕚𝕤𝕝𝕒𝕞 𝕒𝕦 𝕞𝕜𝕣𝕚𝕤𝕥𝕠?Sina nengi zaidi ya hilo mika yangu 38 masawali na majibu njoo pm .kigezo namba moja hekima na ufahamu kuhusu ndoa
Mkristo𝕎𝕖𝕨𝕖 𝕞𝕦𝕚𝕤𝕝𝕒𝕞 𝕒𝕦 𝕞𝕜𝕣𝕚𝕤𝕥𝕠?
Umetafuta ukakosa? Kama umekosa huku basi utapata kwengine kila mtu na bahati yakeWako wapi? Mbona siwaoni
Ah huku sijapata kwanza wananikwepa eti kisa nina kibamia na hiv +Umetafuta ukakosa? Kama umekosa huku basi utapata kwengine kila mtu na bahati yake
Bora utuachie Watanzania tuwaoe, Waarabu watawaharibu kwa kuruka ukuta.Mie nna wajukuu kibao wakuolewa, lakini nimewaambia wakome kabisa kutaka kuolewa na Watanzania.
Wasubiri Waarabu wa DP World. Washaanza kuingia Mambo kwa Dirham siku hizi.
Wajukuu wenyewe hawapigiwi wanacheza, naona vi lsafari vya eyapoti javiishi siku hizi, naona ndege za Emirates, za Qatar,za Oman, za Saudia wanajuwa mpaka zinaingia lini na saa ngapi.
Mmh basi hawana upendo wa kwel hao achana naoAh huku sijapata kwanza wananikwepa eti kisa nina kibamia na hiv +
Hamna mwanamke ambaye sio mama yako ambaye atakuwa na uoendo wa kweli kwakoMmh basi hawana upendo wa kwel hao achana nao
Saitakuaje mkuu! au utabaki single maishaHamna mwanamke ambaye sio mama yako ambaye atakuwa na uoendo wa kweli kwako
Damn straight am gona be single till i dieSaitakuaje mkuu! au utabaki single maisha
Sawa. Huu ni uamuzi wako binafsi. Hakuna aliyekulazimisha kuamua hivi. Sasa usitumie nguvu kubwa sana kuaminisha wanaume wengine kuwa hakuna wanawake wa kuoa.Damn straight am gona be single till i die
😲😲😲😲 Wapi nimesema hakuna wanawake wakuoa? Kabul kandahar herat jalalabad wamejaa wanawake kibao wakuoa tena kitu sealedSawa. Huu ni uamuzi wako binafsi. Hakuna aliyekulazimisha kuamua hivi. Sasa usitumie nguvu kubwa sana kuaminisha wanaume wengine kuwa hakuna wanawake wa kuoa.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] wewe noma sana[emoji44][emoji44][emoji44][emoji44] Wapi nimesema hakuna wanawake wakuoa? Kabul kandahar herat jalalabad wamejaa wanawake kibao wakuoa tena kitu sealed