Waje mkuuNjoja waje wakupe muongozo
Kiruuu sasa anaepumua tu hata km akiwa kwenye wheelchair yeye mradi awe anapumua tusahivi natafta mwanamke yoyote anayepumua tu!
Ndio mkuuKiruuu sasa anaepumua tu hata km akiwa kwenye wheelchair yeye mradi awe anapumua tu
Sawa wanakuja utampataNdio mkuu
Jembe nitaendelea kupiga mwenyewe nimeona hicho kigezo kitanikosesha mkeTunaopumua tupo, Je jembe tutapiga? Maana ndiyo kilikua kikwazo cha kuja pm mkuuπ
kamata mmoja uyu hapa uende nae. uzi ufungwe.Tunaopumua tupo, Je jembe tutapiga? Maana ndiyo kilikua kikwazo cha kuja pm mkuuπ
ππππππ Tuko mwaka 2023 afu karne nyingine,nani atakubal kushika jembe wakat matrekta yapo.Afu unataka mke au mkulima?Wakuu Salaam.
Baada ya kuanzisha Uzi wa kutafta mwanamke ambaye anaweza kupga jembe(kulima) nimekosa hata mmoja wa kuja PM.
Sasa imenibdi nibadlishe vigezo sahivi natafta mwanamke yoyote anayepumua tu! Akiwa mkoa wa Geita au karibu na hapo itakuwa poa sana.
Natanguliza shukrani za dhati.
Wako Mtiifu,
Gwego.
Hapo unataka vitu viwili kwa wakati mmoja!!!
Wa kwenda kumgeuza trekta humu JF hayupo labda uko usukumani nenda [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hiki kigezo nishakitoa kwenye list mkuu.Hapo unataka vitu viwili kwa wakati mmoja!!!
Wa kwenda kumgeuza trekta humu JF hayupo labda uko usukumani nenda [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hiki kigezo nishakitoa kwenye list mkuu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kheWakuu Salaam.
Baada ya kuanzisha Uzi wa kutafta mwanamke ambaye anaweza kupga jembe(kulima) nimekosa hata mmoja wa kuja PM.
Sasa imenibdi nibadlishe vigezo sahivi natafta mwanamke yoyote anayepumua tu! Akiwa mkoa wa Geita au karibu na hapo itakuwa poa sana.
Natanguliza shukrani za dhati.
Wako Mtiifu,
Gwego.