Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,468
- 911,184
- Thread starter
-
- #41
Kuwaogopa kama ukoma...!!!
watu wenye hasira za hivyo hujui ni lini wala wapi wanaweza kufanya nini.
hapo si kwa nia nzuri, hebu niambiae na wewe ukiwa na uhitaji wa hiyo kitu itakuwaje?Akijifanya bingwa wa kuitembeza unaifyeka kwa nia nzuri tu ya kumfanya atulie nyumbani maana hiyo ndio iliyokuwa inamsumbua na kumuongezea nyendo. Ukiifyeka hata afya yake itarudi maana mwili utakuwa na excess storage ya protein. lol.)
Umeona eeh!maana yake umemuuzi so anakukomesha. Kwake si tatizo coz atapata hata kwa jirani!
sasa humo ndani mnakaua watu au mazimwi??Na yeye mwanamke akinifanyia uhuni nampiga Supa glu. So ngoma inakuwa droo
Mimi akininyofolea dudu langu nitauguza, nikipona namkata matiti, wowowoo na nyeti zake ajute!Umeona eeh!
Uume si ndio unawapa wengi ujeuri!
Haya ni mambo hutokea na sababu zinaweza kuwa nyingi tu, mojawapo ikiwa ni unyanyasaji wa wanaume kwa wanawake, ikiwemo jaribio la ubakaji kama mdada huyu wa Bangladesh alivyofanya.
BBC News - Bangladesh woman cuts off 'attacker's' penis
Huyu mama wa L.A hakutoa sababu zake, isipokuwa alidai tu kuwa "Anastahiki". Pengine dume alikuwa anautembeza sana nje.
Police: Calif. woman cut off husband's penis
Kwa vyovyote vile, ikiwa dume ni kiwembe kuwachana naye inatosha. Ya nini kuumbuana?
Khaaaa jamani mbona tunatishana, weekend hii jamani. Lakini hii si inatokea kwa wanandoa tu au?! Yaani mmenitisha kweli, sijawahi kuiwaza hii kitu kwa undani dah... Yaani mtu aichakachue my precious asset, dah! Kwa herini wakuu...
Mimi akininyofolea dudu langu nitauguza, nikipona namkata matiti, wowowoo na nyeti zake ajute!