Mke anapoung'oa uume kwaashiria nini?

Mke anapoung'oa uume kwaashiria nini?

Kuwaogopa kama ukoma...!!!
watu wenye hasira za hivyo hujui ni lini wala wapi wanaweza kufanya nini.

busara hizi tunazipata baada ya matukio kutokea...................na tayari mtu kesha kuumizwa vibaya sana.........
 
Akijifanya bingwa wa kuitembeza unaifyeka kwa nia nzuri tu ya kumfanya atulie nyumbani maana hiyo ndio iliyokuwa inamsumbua na kumuongezea nyendo. Ukiifyeka hata afya yake itarudi maana mwili utakuwa na excess storage ya protein. lol.)
hapo si kwa nia nzuri, hebu niambiae na wewe ukiwa na uhitaji wa hiyo kitu itakuwaje?
 
maana yake umemuuzi so anakukomesha. Kwake si tatizo coz atapata hata kwa jirani!
 
Khaaaa jamani mbona tunatishana, weekend hii jamani. Lakini hii si inatokea kwa wanandoa tu au?! Yaani mmenitisha kweli, sijawahi kuiwaza hii kitu kwa undani dah... Yaani mtu aichakachue my precious asset, dah! Kwa herini wakuu...
 
http://www.bbc.co.uk/news/world-south-asia-13594762http://www.bbc.co.uk/news/world-south-asia-13594762Haya ni mambo hutokea na sababu zinaweza kuwa nyingi tu, mojawapo ikiwa ni unyanyasaji wa wanaume kwa wanawake, ikiwemo jaribio la ubakaji kama mdada huyu wa Bangladesh alivyofanya.
BBC News - Bangladesh woman cuts off 'attacker's' penis

Huyu mama wa L.A hakutoa sababu zake, isipokuwa alidai tu kuwa "Anastahiki". Pengine dume alikuwa anautembeza sana nje.
Police: Calif. woman cut off husband's penis

Kwa vyovyote vile, ikiwa dume ni kiwembe kuwachana naye inatosha. Ya nini kuumbuana?
 
Haya ni mambo hutokea na sababu zinaweza kuwa nyingi tu, mojawapo ikiwa ni unyanyasaji wa wanaume kwa wanawake, ikiwemo jaribio la ubakaji kama mdada huyu wa Bangladesh alivyofanya.
BBC News - Bangladesh woman cuts off 'attacker's' penis

Huyu mama wa L.A hakutoa sababu zake, isipokuwa alidai tu kuwa "Anastahiki". Pengine dume alikuwa anautembeza sana nje.
Police: Calif. woman cut off husband's penis

Kwa vyovyote vile, ikiwa dume ni kiwembe kuwachana naye inatosha. Ya nini kuumbuana?

self-deence inakubalika na kueleweka lakini as crime of passions hapo ndipo kuna kamgogoro kakubwa hivi.................
 
Khaaaa jamani mbona tunatishana, weekend hii jamani. Lakini hii si inatokea kwa wanandoa tu au?! Yaani mmenitisha kweli, sijawahi kuiwaza hii kitu kwa undani dah... Yaani mtu aichakachue my precious asset, dah! Kwa herini wakuu...


forewarned is forearmed.........................so watch-out.before it is too late................this women empowerment has taken into a new meaning altogether...........................................
 
Mimi akininyofolea dudu langu nitauguza, nikipona namkata matiti, wowowoo na nyeti zake ajute!

an eye for an eye rarely solves any problem.........inasaidia kuongeza petroli ya kulipizana kisasi............................jibu ni kujenga mazingira ya kuhakikisha haya hayakutokei.......................
 
Kuna jamaa US alikatwa na mkewe (dada wa ki mexico) afu mdada akapiga simu polisi walivyokuja wakamuuliza mdudu yuko wapi akawaonyesha alipomtupa. Basi wakampeleka jamaa hospital, eti wakairudishia na jamaa anaendelea kupiga mzigo kama kawaida tena amekuwa anacheza porno kuonyesha kuwa yuko fit. Mwanamke alisamehewa kwani mahakama iligundua mumewe alikuwa amemu affect kisaikolojia kwa umalaya wake na walikuwa na kids. Hiyo kesi ilivuta hisia za watu wengi sana duniani hasa marekani wanaharakati walikuwa wananmtetea mwanamke wanaume wanampinga.
 
Back
Top Bottom