ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Ni long distance relationship Kwa Mara ya kwanza ananitumia meseji kuniuliza kwamba anipe umbea? Yaani eti baba ntu nikupe umbea? Duh kuijibu ikabidi niweke⏸ kwanza hii imekaaje ndo mahusiano yalivyo kupeana umbea tena.