ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
🤣🤣🤣daah, haya mkuu,,
Kwani umbea ni niniUnataka umbea apige na nani?
Kama mwenza wako huwa hakupi umbea huyo hakupendi
Watoto wapo likizo itakua mwanae kaiba simu anachezea 😀Una miaka mingapi mbona ndege John hakuwa hivi
😂😂😂Hakikisha umevaa kanga ili umbea unoge kabisa
Yaani hapo ni unataka kupewa umbea na shoga yakoNi long distance relationship Kwa Mara ya kwanza ananitumia meseji kuniuliza kwamba anipe umbea? Yaani eti baba ntu nikupe umbea? Duh kuijibu ikabidi niweke ⏸ kwanza hii imekaaje ndo mahusiano yalivyo kupeana umbea Tena.