Naby Keita
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 12,893
- 20,089
Akitaka akupe na kitumbua ukirudi njoo huku tukupe muongozoNi long distance relationship Kwa Mara ya kwanza ananitumia meseji kuniuliza kwamba anipe umbea? Yaani eti baba ntu nikupe umbea? Duh kuijibu ikabidi niweke ⏸ kwanza hii imekaaje ndo mahusiano yalivyo kupeana umbea Tena.
Ni kawaida kuambiwa hivyo kama wewe mume ni mla chips na hujawahi kumpiga show round tatu hata siku mojaNi long distance relationship Kwa Mara ya kwanza ananitumia meseji kuniuliza kwamba anipe umbea? Yaani eti baba ntu nikupe umbea? Duh kuijibu ikabidi niweke ⏸ kwanza hii imekaaje ndo mahusiano yalivyo kupeana umbea Tena.
Kwa Tuliooa iyo kawaida sana...Mimi huwa anasema leo nina ubuyu jioni home nitakwambia.Ni long distance relationship Kwa Mara ya kwanza ananitumia meseji kuniuliza kwamba anipe umbea? Yaani eti baba ntu nikupe umbea? Duh kuijibu ikabidi niweke ⏸ kwanza hii imekaaje ndo mahusiano yalivyo kupeana umbea Tena.
Mimi nilikuwa mmbeya nilivokuwa ndani na mwanamke wangu.......mwanamke asiyejua umbeya hanifai.....maisha ya umbeya ni dawa ya stress....Wapenzi/wanandoa ni wambea kuliko maelezo
Ndio maana siri yako ukimpa mtu aliye kwenye mahusiano yaliyonyooka....jua na bwana/mwanamke wake anaenda kuambiwa
Asisahau na kuvaa shangaHakikisha umevaa kanga ili umbea unoge kabisa
Wewe na mkeo mna umri gani?Kwa Tuliooa iyo kawaida sana...Mimi huwa anasema leo nina ubuyu jioni home nitakwambia.
under 18Wewe na mkeo mna umri gani?