Mke anataka kuondoka, bila kufukuzwa..kuna umuhimu wakugawana mali

huwa kuna taratibu ndefu sana na sasa serikali inataka ipunguze talaka kwa kutotota talaka
kivip mkuu,lakini kuna sabb zile ambazo hakuna jinsi, mfano magonjwa yà zinaa HIV ,Uhanisi nk hapo pakoje?
 
Ndugu pole mimi nna mwaka wa pili huu bado naangaika na ustwi ni shida kweli kweli ustawi wa jamii ni wasubufu mno alafu mwisho wa siku bado mahakama ndio jibu la mwisho kikubwa ni kutokukata tamaa tu
 
hata akienda huko ustawi wa jamii hakuna watakachoweza kulazimisha ufanye na una uwezo wa kukataa maana huwezi fungwa
 
Umetoa point nzuri sana mkuu,barikiwa sana
 
Hata aking'ang'ania we lazimisha muorodheshe mali zote anazotaka. Mpe aende zake. Mali zote hizo mahakama itaitisha ili kuzigawa na utapata kilicho chako. Mwache asepe zake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…