Sijawai kwa kweli ,labda wawe walinidanganya hawajaolewa.
Mkuu umeoa wewe?
Mkuu hata wewe?
aisee sasa fanya hivi kizuri kula na mwenzioNimemfunga....nagegeda mpaka kapangaratiba maana baada ya kujifungua kawa mrembo mara dufu.....kwa kweli huu uwivu umekuja ghafla sana sikua nimejiandaa kuwa na wivu...ni baada tu ya uzazi basi nyama zimemuota makalio, mapaja ,kifua vimetoka exactly kama wale niliokua nawaangalia kwenye mitandao...
Mkeo ulimkuta na bikira yake??? Kama jibu ni hapana usiwaze sana, umemuolea mwanaume mwenzio
Nimemfunga....nagegeda mpaka kapangaratiba maana baada ya kujifungua kawa mrembo mara dufu.....kwa kweli huu uwivu umekuja ghafla sana sikua nimejiandaa kuwa na wivu...ni baada tu ya uzazi basi nyama zimemuota makalio, mapaja ,kifua vimetoka exactly kama wale niliokua nawaangalia kwenye mitandao...
Punguza ukali wa maneno mkuu maana nahisi kijasho
Doh basi sorry. Ila ndo kama hivyo wajanja waliotangulia kukata utepe huwa hawanyimwagi kirahisi.... So wife akikutana naye hesabu maumivu ... hahahahaaa
Hasante ,Ila kwakweli sidhani kama wanawake mnaumia kama sisi....
Hasante
Sema asante......
Sawa mwalimu. Nakuhakikishia sitorudia kosa
aisee sasa fanya hivi kizuri kula na mwenzio
We acha...inauma sana ingawa sijawai ila nahisi nitaokota makopo
Rudia sentensi nyine tuone kama umeeleewa?????
Nyine =nyingine.
Mwalimu njoo kuna mtu hajui kuandika
We ni ke ama me maana mmmm