Mke aolewa na jirani baada ya mumewe Kupooza

Mke aolewa na jirani baada ya mumewe Kupooza

Nitakuwa nawe kwenye raha na shida, afya na magonjwa mpaka pale kifo kitakapo tutenganisha[emoji120]
 
Wanawake sometimes tunazingua sana.
Ila simhukumu sana japo alichofanya sio kizuri.
Hapo ukute eti analipa kisasi mana waweza kuta huyo mwanaume analalamika kumbe wakati yu mzima alikuwa hashikiki na kumtesa mwenzie sasa huyo naye kaona kwakuwa sasa hana jipya tena aamue atimkie kwingine ale maisha kuliko kuendelea kuteseka mana anajua sasa hivi mume hana nguvu tena.
 
Ni tuelfu tano twako tu tigo pesa ndiyo katakua na wewe milele daima.
 
Pole yake sana, asisikitikie sana sababu hua hayanaga muongozo...
 
Back
Top Bottom