Mke aweka rehani nyumba ya mumewe benki achukue pesa na kumpa mchepuko

MAONI YANGU;

Jamaa aliyekuwa nje ya nchi akamatwe aswekwe ndani ili asidhuru,asijidhuru,apewe huduma ya kisaikolojia hukohuko.
 
Lakini naona watakao poteza hapo ni Benki hawataweza kuuza hiyo Nyumba. Huyo mwanaume aende tu huko benki akadai Hati yake. Inaonekana Benki hawakufanya verification ya kutosha.
 
Hapa benki husika haijaonyesha uzembe?
 
Atakuwa yule jamaa mwenye tabia ya kumwaga asali kwenye apple na kuanza kuilamba taratiibu kabla hajaimaliza utakuta mtu anatetemeka mwili mzima kabla kuweka dip stick ni sababu mojawapo ya Nyumba kuwekwa bondi.
 
Atakuwa yule jamaa mwenye tabia ya kumwaga asali kwenye apple na kuanza kuilamba taratiibu kabla hajaimaliza utakuta mtu anatetemeka mwili mzima kabla kuweka dip stick ni sababu mojawapo ya Nyumba kuwekwa bondi.
Mixer kutumia ice cubes kwenye maeneo ya uti wa mgongo

Hati ya nyumba kwenda na maji
 
Hapa kidogo yawezekana ila sio kirahisi vile maana ni mchakato mrefu kuanzia hati yenyewe na vitambulisho. Huwa bank wanafanya mpaka uthibitisho ni kamchakato labda iwe wamecolude na ofsa mikopo!
Mzee ye kukimbia sio fala unajua umepga mzigo Tena Nyumba ya jamaa watu hawaeleweki angeweza kuolewa kabsa watu wamechafukwa roho jumla jamaa anavopambana njee alafu uje uchukulie mkopo Nyumba yake hata Mimi nakuoa walah
 
Kwani si mlishaambiwa MSIOE?
Nini tena mnakitafuta huko?

#YNWA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…