Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Miaka iliyopita, nilichepuka na dada mmoja; kwa bahati mbaya yule mdada alinogewa na akatamani kupindua meza; kwa kuniwekea mazingira, nikikutana na mwanamke mwingine, jogoo asisimame ila kwake tu.
Siku moja niko na 'wife', jogoo akagoma kabisa kusimama, kula kongoro, mara mbuzi n.k hakuna kitu; ndipo wife akaniuliza, kuna mtu yeyote uliyelala naye; ikabidi niwe mpole, nikamwambia ukweli, na wala hakukasirika; ikabidi tutafute njia ya matibabu.
Siku nyingine tena, nikachepuka tena; nikakaa kama mwezi hivi bila kufanya tendo la ndoa, ghafla naamka asubuhi nikiangalia kitendea kazi, kimevimba upande mmoja.
Nilipata mshituko mkubwa sana, ikabidi nimpigie simu 'wife' na kumueleza kilichojiri.
Akaniuliza, ulishachepuka na mtu yeyote? Nikawa mkweli, na kumwambia, ndio ni kama mwezi hivi; Mbaya zaidi hakukasirika, akaniambia kwa lugha ya upole, inawezekana ni UTI, nenda hospitali ukachukue vipimo. Hapo hapo akanitumia na hela ya kununulia matunda.
Nilivyoenda hositali, wakanipima vipimo vyote, na wakakuta nina UTI na iko juu sana, nikaandikiwa dawa na kuanza dozi.
Cha kushangaza 'wife' hajanilaumu, zaidi ya kunikumbushia kila muda nitumie dawa, nile nishibe pamoja na matunda, mpaka nilipo pona kabisa.
Kuanzia hapo, nikaamini kweli; huyu ni mke bora aliyetoka kwa bwana.
Siku moja niko na 'wife', jogoo akagoma kabisa kusimama, kula kongoro, mara mbuzi n.k hakuna kitu; ndipo wife akaniuliza, kuna mtu yeyote uliyelala naye; ikabidi niwe mpole, nikamwambia ukweli, na wala hakukasirika; ikabidi tutafute njia ya matibabu.
Siku nyingine tena, nikachepuka tena; nikakaa kama mwezi hivi bila kufanya tendo la ndoa, ghafla naamka asubuhi nikiangalia kitendea kazi, kimevimba upande mmoja.
Nilipata mshituko mkubwa sana, ikabidi nimpigie simu 'wife' na kumueleza kilichojiri.
Akaniuliza, ulishachepuka na mtu yeyote? Nikawa mkweli, na kumwambia, ndio ni kama mwezi hivi; Mbaya zaidi hakukasirika, akaniambia kwa lugha ya upole, inawezekana ni UTI, nenda hospitali ukachukue vipimo. Hapo hapo akanitumia na hela ya kununulia matunda.
Nilivyoenda hositali, wakanipima vipimo vyote, na wakakuta nina UTI na iko juu sana, nikaandikiwa dawa na kuanza dozi.
Cha kushangaza 'wife' hajanilaumu, zaidi ya kunikumbushia kila muda nitumie dawa, nile nishibe pamoja na matunda, mpaka nilipo pona kabisa.
Kuanzia hapo, nikaamini kweli; huyu ni mke bora aliyetoka kwa bwana.