Sasa vipi ukimbilie bussiness bila yeye kusoma, inabidi wewe umsomeshe kwanza...afu mbona wengi tu wake zao wameishia la saba na wameisha chukua mpaa ma master degree sababu walijiendeleza, hata yeye anaweza kufika huko.
duh ila ukimsomesha kaa ukijua vijana siku hz watundu so watakupigia...
tena sio stereotype as u said huyo shemeji akifika darasani atagundua ww huna lolote,
najua ss hv mpaka unafikiria kumsomesha ni mavitu unayopewa ila akipandisha kidato atagundua unamfuja...
mwache home asikilize taarabu.... vp ongeza elimu yako au love inakuchanganya
Mlio changia wote ni wapumbavu
We si umeomba ushauri sasa acha ubishi labda kama unajibu tayarimmm! Hii yako iko stereotypic
Mlio changia wote ni wapumbavu
Mpeleke shule,siku hzi zipo sekondaei kwa miaka miwili kule atasoma vizuri tu kwan wanafunzi wengi ni watu wazima,
Na akifaulu vizuri aendelee 4m 5 na 6 kwa mwaka mmoja so ndai ya miaka 3 atakuwa keshamaliza elimu ya sekondary,
Na akifaulu vizuri msapot aende chuo,na watu wa aina hii huwa na shauku ya kusoma na siku zote huwa wanaperform vizuri sana,
Achana na maneno ya wanaokuvunja moyo,coz km ni thaman ya mapnz yake kwako na yako kwake unayajua ww,
Hii italeta maendeleo kwa familia na atakua msaada zaidi kufatilia watoto na maendeleo yao wakiwa wanasoma.