Mke darasa la 7




hah haahhhaaa ..kwaiyo ata nikikupenda kaka utanitosa kisa KITABU?
nakupenda jamn wewe ila la saba mwenzio unasemaje sasa?:yawn:
 

yamenikuta, this is true indeed....
 
mie niliolewa form four, ss hivi nina masterz, na ndoa ipo gado, we msomeshe tu, kama wako imeandikwa atabakia kuwa wako tu
 
Mpeleke shule ila uwe mwangalifu msomeshe course za kawaida za kumjengea confidence sio kumpa kiburi.
 
hah haahhhaaa ..kwaiyo ata nikikupenda kaka utanitosa kisa KITABU?
nakupenda jamn wewe ila la saba mwenzio unasemaje sasa?:yawn:

Hata kuguna kutakuwa hakulingani ktkt ya game,
Std 7 or fm 4 Div 0, is toooooo looooow, feelings za vitu vingi vitakuwa hamendani, kumbuka love is not only SEX
ni jumla ya maisha yooote meaning plus sex, narudi Std 7/ fm4 div 0 kwa msomi
Ndoa haipo, period...!!!
 
mie niliolewa form four, ss hivi nina masterz, na ndoa ipo gado, we msomeshe tu, kama wako imeandikwa atabakia kuwa wako tu

Wanawake hawana shukrani, wafanyie vyote, SIKU MOJA ANASAHAU YOTE NA HAJALI
SO KAMA HAJASOMA HADI LEVEL YANGU SIMPELEKI SHULE...labda nimezaa nae na nimemuoa tayari insisting LABDA
 


Thank you mr president. . You have nailed it. .
 

Mr. President labda kama wewe tu humtaki std 7.
Kuna Dr mmoja(PhD holder) ni Mnyakyusa wa kyela anaishi Kisukuru. (i believe yumo jf) mkewe ni STD 7 wa kijijini,
kampeleka kujifunza cherehani,ni fundi nguo tena sio wale mafundi quality ni kupinda kanga na kuweka viraka sana.
Mi naona wameridhika
 
Wanawake hawana shukrani, wafanyie vyote, SIKU MOJA ANASAHAU YOTE NA HAJALI
SO KAMA HAJASOMA HADI LEVEL YANGU SIMPELEKI SHULE...labda nimezaa nae na nimemuoa tayari insisting LABDA
Mr pres, nakwambia hayo ni mawazo ya kimaskini sana, tungefanya mambo kwa kuwaza ya mbele basi hata manyumba tusingejenga au kutengeneza future zetu kwa vile tu tunaweza kufa siku yeyote, kuna leo na kesho,kuna wakati mbaya unapita mwnaume anakuwa hana hata senti mwanamke unainuka na kusaidia kuokoa jahazi
 

Kwa nje u said umeona wameridhika, kwa njeee.... ur missing something my frnd
TUNAONGELEA VITU VYA NDANI MNOOO, Hearts zao in their daily life, so tunatumia our mental power to figure out
their connectivity deeply in, sio juu juu tu like ukiona rangi ya kijani moja kwa moja unasema CCM, so hawaendani period...!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…