Rose1980
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 5,684
- 1,305
Impossible, minimum qualifications for everything nowdays aje na FORM 4 certificate, meaning even Fm 4 Div 0 hafai kuolewa, coz they are vacuum minded, empty headed, dark brain, hamtaelewana kamwe, 7bu most of time ataona unamdharau kisa unamshauri vitu vingi or kumwelekeza mara nyingi so ataona unamwona wa chini, na mwanamke ukisha mtia anataka awe LEVEL MOJA NA WW, so ni ngumu mno, impossible, no humanity hapa, funguka uone ukweli, sasa hivi NDOA UWE NA CHETI MINIMUM FM4 . iwe umefaulu tena, i am out....
hah haahhhaaa ..kwaiyo ata nikikupenda kaka utanitosa kisa KITABU?
nakupenda jamn wewe ila la saba mwenzio unasemaje sasa?:yawn: