Muulize mke wake ndio atakupa jibu sahihi mkuu.
Muulize mke wake ndio atakupa jibu sahihi mkuu.
Kaa na mkeo uongee naye, kama mwanzo iliwezekana kwa nini sasa liwe tatizo.
Hii habari naamini inakuhusu wewe, wananume huwa hatuna kawaida ya kusemeana matatizo in public.
Kama vipi Mbake si Mkeo!
Unata utiane kila siku kwani ni chakula usime usipokula wiki unakufa? Pumzikeni jamani
c ivo ndugu,yeye ameona ni mabadiliko ya ghafla na c kwamba walikuwa wanatiana kila cku bali anapotaka hupewa na yawezekana kwa wiki mara mbili au tatu ila kwa sasa akiomba huambiwa kachoka na yaweza kupta wik hapewi na hata acpoomba tofaut na zaman.
Mwambie jamaa yako na yeye akatafute nje