habari wanajf! nina rafik yangu ambaye ameoa miaka 2 iliyopta na walikaa vyema ktk ndoa yao mwanzon mwa hiyo ndoa yao,tatzo ni kwamba kwasasa jamaa ananiambia hana furaha ktk iyo ndoa yao kwan tendo hulipata kwa nadra sana,yan mpaka mwanamke atake mwenyewe ndo atapewa inaweza kupta hata wiki kungonoka tofaut na mwanzo ambapo jamaa akitaka tu hupewa yan huko awali,swali ni je huyo mwanamke anaweza kuwa ana mtu pemben au ni tatizo?msaada wadau