Mbona mnakuza mambo, Issue ni mke hataki ndugu za mme na limejionyesha wazi wazi baada ya ndugu yake kuja na hakuongea chochote..
kwa kiasi, fulani.Duh Haika lah!
Tribaphobia! - right?
Kwa ndugu yake mbona hakujadili na bado hakuongea chochote....kifupi jamaa anatakiwa asimamie maamzi yake kama kicho cha familia na akileta msimamo wake wa kuto wataka ndugu za mme amtimue....
Kwa ndugu yake mbona hakujadili na bado hakuongea chochote....kifupi jamaa anatakiwa asimamie maamzi yake kama kicho cha familia na akileta msimamo wake wa kuto wataka ndugu za mme amtimue....
Pole sana mama,Ngoja nikupe ushauri, mimi kama dada wa kichaga.
Kwa kuwa upependa kutaja kabila la mke bila kutaja kabila la mume unadhani huo ukabila wa mke ni muhimu katika ushauri unaotegemea?
Basi ni hivi,
1. Mwambie amuache huyo mwanamke atafute wa kabila lake au lako wewe.
2. Awape funzo ndugu zake wote wasijeoa wachaga kwani watawakataa ndugu zao na hao wanawake wataleta ndugu zao nyumbani.
Iwe onyo na fundisho kwao.
basi yeye achukue kilicho chake aondoke na huyo ndugu yake....Amtimue? vipi kama hapo wanapoishi ni kwa mwanamke?
pole dada kwa kuguswa na ukabila ,msamehe ila anahitaji ushauri kuna watu wamekuwa na stereo type hizi,mimimmke wangu ni mmeru huwa napata shida kuwa umeoa wanaofanan na wachaga ila ninavyo fahamu ubaya /ukatili upo kwa mtungoja nikupe ushauri, mimi kama dada wa kichaga.
Kwa kuwa upependa kutaja kabila la mke bila kutaja kabila la mume unadhani huo ukabila wa mke ni muhimu katika ushauri unaotegemea?
Basi ni hivi,
1. Mwambie amuache huyo mwanamke atafute wa kabila lake au lako wewe.
2. Awape funzo ndugu zake wote wasijeoa wachaga kwani watawakataa ndugu zao na hao wanawake wataleta ndugu zao nyumbani.
Iwe onyo na fundisho kwao.
ukisoma mada utaelewa kuwa ni tatizo la siku nyingi na mwanamke amekuwa akisisitiza hamtaki yule mtoto yatima kisa hakushirikishwa kibusa kama hakushirikishwa kwenye swala kama hilo angemweleza mme wake asiwe anafanya maamzi kama hayo na siyo kumtaka aondolewe yule mtoto...aendewapi sasa huyu yatima...hahaha!sawa crash lkn je,,amewahi kuongea nae mara ngapi juu ya hilo kabla ya kumtimua?
mkuu nimetafuta kidude cha thanks sikioni...Thanksila kama hataki kuelewa japo mm ni mwanamke lakini nasema apigwe talaka yake alale mbele
Kuna jamaa yangu kaniomba ushauri juu ya tatizo linalomkabili. Yeye kaoa mke Mchagga. Baada ya kufiwa na mdogo wake wa kike, ndugu waligawana watoto wa marehemu na yeye(jamaa) akapewa mtoto m1 ili amtunze na hasa ikizingatiwa kuwa hakuwa na baba. Matatizo ya mke ndo yakaanza. Mara simtaki huyo mtoto kwa kuwa hukunishirikisha. Mara mtoto huyo ameshndikana huko alikotoka kwa kuwa ni mtundu. Mke ameendelea kusistiza kuwa hamtaki huyo mtoto licha ya kupita miaka 3 sasa. Kutokana na presha ya mke wake, jamaa aliamua kutafuta shule ya boarding ya watoto yatima lakini bila ya mafanikio. Pia aliwahi kumchukua ndugu yake mmoja ili amsaidie kwenye biashara zake lakini kelele za kumkataa zikasikika na hatimaye yule kijana akaondoka. Jamaa wiki iliyopita aliombwa na ndugu wa mke ampokee kijana wake akae kwake ili ajiandae kure-sit mtihani wa fm4 mwaka huu. Jamaa hakuwa na hiana akamkubalia bila ya kumshikisha mke wake huku akihofia kelele za mke wake kwa kutomshirikisha. Kijana kafika na hakuna kelele.
basi yeye achukue kilicho chake aondoke na huyo ndugu yake....
tatzo jamaa anafanya maamuz bila kumshrikisha mkewe na ndo hapo tatzo linapotokea mwambie aache ukiritimba au umimi anaish na mkewe hvyo itakuwa flesh kama akimshrkisha mkewe kwanza ni hlo 2uu mm ndo ninalaliona japokuwa huyo mkewe nae anatatzo la kuchukia ndugu wa mume wake ila huwa wepesi kuelewa kama akiwashrkisha vzur sawa man
Ngoja nikupe ushauri, mimi kama dada wa kichaga.
Kwa kuwa upependa kutaja kabila la mke bila kutaja kabila la mume unadhani huo ukabila wa mke ni muhimu katika ushauri unaotegemea?
Basi ni hivi,
1. Mwambie amuache huyo mwanamke atafute wa kabila lake au lako wewe.
2. Awape funzo ndugu zake wote wasijeoa wachaga kwani watawakataa ndugu zao na hao wanawake wataleta ndugu zao nyumbani.
Iwe onyo na fundisho kwao.
Baada ya msg kuwa delivered,
ushauri wangu wa ukweli ni kuwa:
1. mnapoingia kwenye ndoa muwe makini na kuangalia streghts za personalities zenu, na muwe tayari kuishi nazo. Mie sipendi kuona mtu anaishi na mkewe au mumewe huku anaogopa kuleta baadhi ya hoja mezani. Hio si ndoa ni ndoano, na lazima mmoja huyo atakuwa mnyonge na atatia huruma sana hata kwa ndugu na jamaa zake. ajitahidi kumatch up na arguments (hoja) za mkewe, aje na hoja mezani.
Ndoa za kiafrika wote tunaelewa ni za kiukoo zaidi kuliko mtu mmoja mmoja.
2. Kwa huyo jamaa yako bila kuwa wazi baba na mama, lazima kuna mambo mengi sana yametokea hapo nyuma, sie wanawake mara nyingi huwa tunaunganisha matukio mengi madogo madogo na kuyatafakari kwa ujumla wake, kuna habari hatuwezi kuijua hapa.
2. Ajiweke kwa ajili ya mke wake, bila kujidharaulisha, na abainishe wazi majukumu ya kulea ndugu,
KWA KIFUPI ATAMBUE MAANA YA KUITWA BABA, si sifa wa la cheo ni MAJUKUMU. Awe tayari kwanza kuwa BABA WA NYUMBA YAKE ndio ataweza kuwa msaada wa watu wengine.
hili ni tatizo kubwa sana kuliko tunavyodhania.
Personalities za wanaume kwa miaka ya karibuni mimi huwa naona kama wanaanza kukubali kuwaachia wanawake kuprovide security ya familia, hii itatucost, wote wanawake na wanaume.
Kuna mwalimu wangu alikuwa anasisitiza sana wanafunzi wa kiume wasome sana, wasikubali kupitwa na wasichana, alikuwa naogopa sana kuwa watakuja kudharauliwa baadae, mie kil amara huwa nakumbuka na kuzidi kuona ukweli wa maneno yake mengi kama haya:
- we mtoto wa kuime usikubali kudharauliwa,
- usiache familia yako isikutegemee, hakikisha unawatunza
- mwanaume anatakiwa awe radhi hata kukesha ili kulinda familia yake
- mtoto wa kiume halii mbele ya mtoto wa kike
- mwanaume anatakiwe awe jasiri wakati wote
- jibebeshe jukumu la kutunza familia yako kwa heshima
- usikubali mwanamke akulishe atakudharau au utajidharau
- mwanaume huwezi kusamehewa kwa kukosa uelekeo na msimamo wa maisha yako
nk nk
Jamani msimlaumu Dada haika,
jamaa anayetaka ushauri amekosea kutaja kabila la huyo mwanamke, ina maana alikuwa anataka ushauri ambao utashirikisha kabila, Kwamba Uchagga wa huyo my wife wake ndio tatizo
pili inaonekana huyo ndugu yake anapewa lawama nyingi sana kwa kuoa mchaga, yaani matatizo yote yanasababishwa na Uchagga
ilikuwa haina sababu kabisa ya Kutaja kabila la huyo mama, Mi si Mchagga lakini inaboa kudiscuss Tabia ama Uamuzi wa mtu kwa kigezo cha kabial lake