MOTEMANANGAI
Member
- Nov 23, 2017
- 18
- 14
Mimi ni kijana wa miaka 30 natafuta mke HIV+ urefu wangu ni cm 165 au futi 5.4 ni mfanyabiashara na sijaanza ARV's sababu CD 4 bado zipo juu nimeupata ivi karibuni.
Vigezo ni;
1. Awe maji ya kunde, mwupe au mwarabu
2. Muislam na anaijua dini
3. Miaka 18-28
4. Asiwe ana mtoto sababu na mimi sina
5. Urefu cm 140-165
6.Sio lazima awe na kazi wala biashara
7.Mkazi wa mkoa wowote ila Dar ni bora zaidi
8. Mwenye nia ya kuolewa
9. Asiefahamika kwa ndugu zake kwamba ni HIV+
10. Mwenye kujali afya yake
Kama unasifa hizo ni PM
Vigezo ni;
1. Awe maji ya kunde, mwupe au mwarabu
2. Muislam na anaijua dini
3. Miaka 18-28
4. Asiwe ana mtoto sababu na mimi sina
5. Urefu cm 140-165
6.Sio lazima awe na kazi wala biashara
7.Mkazi wa mkoa wowote ila Dar ni bora zaidi
8. Mwenye nia ya kuolewa
9. Asiefahamika kwa ndugu zake kwamba ni HIV+
10. Mwenye kujali afya yake
Kama unasifa hizo ni PM