Ghost Worker
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 1,412
- 1,864
Tuwe makini sana na kauli zetu. Unyanyapaa ni mambo yaliyopitwa na wakati. Wewe unayebeza umepima?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
upo sahihi.. jibu murua..Tuwe makini sana na kauli zetu. Unyanyapaa ni mambo yaliyopitwa na wakati. Wewe unayebeza umepima?
😂😂😂😂😂🙁🙁🙁🙁🙁Karibu babeee
kacheki afya ni bora kujua afya yako... usijali... usiogope...Mm mwenyewe najiskia kahomaaaaaa,sjui ndio nmeunga gridi ya taifa.....duuuh
Wapo waliozaliwa na hali hiyo....Mkuu mbona umeukwaa mapema ivo...29y?
upo sawa zipo sababu lukuki,,,Wapo waliozaliwa na hali hiyo....
KarbuKama kichwa cha habari kinavyosema nahitaji mwanamke aje kuwa mke wangu wa maisha mwenye hali kama yangu.
*Sifa zangu ni..
1. Mwajiriwa na nimejiajiri ili kuongeza kujikimu zaidi.
2. Mrefu wa wastani
3. Rangi maji ya kunde.
4. Umri miaka 29.
5. Elimu chuo kikuu.
*Mwanamke/Mke ninaye-muhitaji
1. Mrefu wastani/umbo la wastani
2. Awe mtafutaji
3. Umri 20-31
4. Asiwe na mtoto
5. Awe mwelewa na mwerevu.
6. Mcha Mungu
7. Elimu form 4 na kuendelea
Karibu P.M kwa mwenye utayari na uhitaji wa mume tuanze maisha yetu mapya.
We umepima lini?Mkuu mbona umeukwaa mapema ivo...29y?
Pamoja na hali ulonayo bado huyo mke masharti kibao kama mganga wa kienyeji,aya kila la kheri.Kama kichwa cha habari kinavyosema nahitaji mwanamke aje kuwa mke wangu wa maisha mwenye hali kama yangu.
*Sifa zangu ni..
1. Mwajiriwa na nimejiajiri ili kuongeza kujikimu zaidi.
2. Mrefu wa wastani
3. Rangi maji ya kunde.
4. Umri miaka 29.
5. Elimu chuo kikuu.
*Mwanamke/Mke ninaye-muhitaji
1. Mrefu wastani/umbo la wastani
2. Awe mtafutaji
3. Umri 20-31
4. Asiwe na mtoto
5. Awe mwelewa na mwerevu.
6. Mcha Mungu
7. Elimu form 4 na kuendelea
Karibu P.M kwa mwenye utayari na uhitaji wa mume tuanze maisha yetu mapya.
Hehehehe binadamu ubinafsi unatuandamaWewe unasifa 5 yeye ziwe 7 duh
asante sanaKarbu
usijali, tuliza kichwa ... ndio maana naitwa chaguo...Pamoja na hali ulonayo bado huyo mke masharti kibao kama mganga wa kienyeji,aya kila la kheri.
Maashallah Aisha Ramadhaninumber yang iyo nichek 0622866509
sawa rafiki.. sio vyema sana kuweka no. yako public...number yang iyo nichek 0622866509
Ha ha haaaa watu wapo serious aisha buanaasawa rafiki.. sio vyema sana kuweka no. yako public...
Alafu uyo aisha alikuja na I'd mpya kwajili ya huu uziHa ha haaaa watu wapo serious aisha buanaa
Ndo yupo serious asa anayetafuta mke akisema ameshindwa hapo atakua amekwama wapiii ha ha haaaaa😂😂😂Alafu uyo aisha alikuja na I'd mpya kwajili ya huu uzi