hadithi za kitoto tutolee hapa,yaani asleep kwa ajili ya tatoo au unatuelezaa kuwa mzee wako ana tatizo la usingizi:rain:kuna siku nilipata demu mpya, kuchungulia uwanja nikaona totoo na jina la njemba hapo hapo mzee aka sleep, biashara ikaishia hapo
baadhi ya wanaume weusi sijui wana matatizo gani,kwani we unaoa tatoo au na mpaka unaoa unahitaji kufundishwa nini ambacho wazazi wako hawajakufundisha:rain:
akufundishe kwani yeye mamako mzazi? mnh:A S 13:
Anatufundisha
............. It is ok to express yourself
..............Staying true to ones self is less painfull than wasting away conforming to
society's beliefs
............. Stereo types do not faze her
..............Even to this day and age there are still a number of pple, who readily judge
that which they know nothing offHizi TIQO zitakoma kweli
mtu kama huyu anatufundisha nini ktk jamii..ama anawafundisha nini wakwe zake ama watoto wanaoudhuria harusi yake..anyway binfsi nimekuwa na maswali mengi nani kamweka hiyo tatuu na ukichungulia sana unaweza kuta majina ya watu..hawa madada zetu wanaandika majina sehemu nyeti bila kujua kuna MAHUSIANO YA MUDA NA MILELE
mtu kama huyu anatufundisha nini ktk jamii..ama anawafundisha nini wakwe zake ama watoto wanaoudhuria harusi yake..anyway binfsi nimekuwa na maswali mengi nani kamweka hiyo tatuu na ukichungulia sana unaweza kuta majina ya watu..hawa madada zetu wanaandika majina sehemu nyeti bila kujua kuna MAHUSIANO YA MUDA NA MILELE
Tattoo sio utamaduni wetu!
Tattoo sio utamaduni wetu!