Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 31,009
- 60,629
mi naonaa tatoo sio tatizo la maadili mabovuuu jamani,je kwa upande wa baba mwenyee tatoo za kutoshaaa?je yeye atawafundishaa wakwee ninii?binafsi na tatoo kamaa 15 mwilini,na nilichoraa kipindi cha miaka 14 iliyo pitaa now na mkee na watoto watatu,still na ishi nao kwa maadili,ilaa ninapo fikiriagaa naonaa nilikoseaa sanaaa kuchoraa tatoo mwilini wangu si feel confortable kuvuaa shat mbele ya watoto,maana nina mitatoo ya kutishaaa.
Kweli ujana majaribio. . .
Ubaya wake ni kwamba ngozi inavyozeeka ndivyo nazo zinavyopoteza mvuto.