Mke kwaajili ya kaka yangu.

Mke kwaajili ya kaka yangu.

Izogi

Senior Member
Joined
Dec 4, 2014
Posts
168
Reaction score
212
Habari zenu humu, hopefully mko salama. Jamani niende kwenye point nina Kaka yangu ambaye alipata mtihani kidogo wa afya ya akili alipokuwa mafunzoni Jeshini ambayo imempelekea kutokua sawa, kuna mda unaweza kaa nae akaongea tu vizuri na sometimes anavuruga maneno. NB(sio chizi kwamba anavua nguo au labda anapiga watu, hapana. Hes humble and understanding).
Saasa kwakuwa hakuna mkate mgumu mbele ya chai, anahitajika mwenza (mke). Ambaye tunaamini kupitia yeye mumewe atakuwa sawa.
Kama kuna ambaye yupo tayari kwa hili please DM kwaajili ya info zaidi. This is too serious, Asanteni.
 
Habari zenu humu, hopefully mko salama. Jamani niende kwenye point nina Kaka yangu ambaye alipata mtihani kidogo wa afya ya akili alipokuwa mafunzoni Jeshini ambayo imempelekea kutokua sawa, kuna mda unaweza kaa nae akaongea tu vizuri na sometimes anavuruga maneno. NB(sio chizi kwamba anavua nguo au labda anapiga watu, hapana. Hes humble and understanding).
Saasa kwakuwa hakuna mkate mgumu mbele ya chai, anahitajika mwenza (mke). Ambaye tunaamini kupitia yeye mumewe atakuwa sawa.
Kama kuna ambaye yupo tayari kwa hili please DM kwaajili ya info zaidi. This is too serious, Asanteni.
Ana cheo gani jeshini?
 
Habari zenu humu, hopefully mko salama. Jamani niende kwenye point nina Kaka yangu ambaye alipata mtihani kidogo wa afya ya akili alipokuwa mafunzoni Jeshini ambayo imempelekea kutokua sawa, kuna mda unaweza kaa nae akaongea tu vizuri na sometimes anavuruga maneno. NB(sio chizi kwamba anavua nguo au labda anapiga watu, hapana. Hes humble and understanding).
Saasa kwakuwa hakuna mkate mgumu mbele ya chai, anahitajika mwenza (mke). Ambaye tunaamini kupitia yeye mumewe atakuwa sawa.
Kama kuna ambaye yupo tayari kwa hili please DM kwaajili ya info zaidi. This is too serious, Asanteni.
Tafuta mwanasaikolojia kwanza
 
Habari zenu humu, hopefully mko salama. Jamani niende kwenye point nina Kaka yangu ambaye alipata mtihani kidogo wa afya ya akili alipokuwa mafunzoni Jeshini ambayo imempelekea kutokua sawa, kuna mda unaweza kaa nae akaongea tu vizuri na sometimes anavuruga maneno. NB(sio chizi kwamba anavua nguo au labda anapiga watu, hapana. Hes humble and understanding).
Saasa kwakuwa hakuna mkate mgumu mbele ya chai, anahitajika mwenza (mke). Ambaye tunaamini kupitia yeye mumewe atakuwa sawa.
Kama kuna ambaye yupo tayari kwa hili please DM kwaajili ya info zaidi. This is too serious, Asanteni.
Mwenyezi Mungu ambariki, Mwenyezi Mungu amtie nguvu, ninamuombea baraka, Neema na mafanikio katika kusudi, nia na haja ya Moyo wake Amen 🙏.
 
Mtaani umekosa? Huku mitandaoni wanawake wengi wadangaji, unataka wamdangie kaka yako?.
Habari zenu humu, hopefully mko salama. Jamani niende kwenye point nina Kaka yangu ambaye alipata mtihani kidogo wa afya ya akili alipokuwa mafunzoni Jeshini ambayo imempelekea kutokua sawa, kuna mda unaweza kaa nae akaongea tu vizuri na sometimes anavuruga maneno. NB(sio chizi kwamba anavua nguo au labda anapiga watu, hapana. Hes humble and understanding).
Saasa kwakuwa hakuna mkate mgumu mbele ya chai, anahitajika mwenza (mke). Ambaye tunaamini kupitia yeye mumewe atakuwa sawa.
Kama kuna ambaye yupo tayari kwa hili please DM kwaajili ya info zaidi. This is too serious, Asanteni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
He needs a woman ambae si wa dunia hii wallahi...si wa dunia hii. Nshamuonea huruma hapa mwanzoni tu. Ila kuna wanawake ambao wako so humble, down to earth..ila kwa hapa mtandaoni mdau..sidhani kwakweli. Ila labda atakuwepo. Lets hope. Nawatakia kila la kheri.
 
He needs a woman ambae si wa dunia hii wallahi...si wa dunia hii. Nshamuonea huruma hapa mwanzoni tu. Ila kuna wanawake ambao wako so humble, down to earth..ila kwa hapa mtandaoni mdau..sidhani kwakweli. Ila labda atakuwepo. Lets hope. Nawatakia kila la kheri.
Tunatarajia mazuri. Asante sana
 
Km ni mkristo,ahudhulie Sana ibada amtafute Mungu wake huenda huko huko atapata mtu,vinginenvyo sijui state yake Ila ajichanganye tu atapata wa kumfaa lkn mtandaoni labda ndoa ya mkataba
 
Alikua mafunzo ya ukomando nini? Ila mngetangulia kwa psychiatrist kwanza kabla ya kumtafutia mke, anaweza kuoa ndio akavurugwa zaidi hawa wanawake hawa.
He's a Men mydia. I think Careness ya mke ni tofauti na hao wasaikolojia.
 
Wa humu hawafai, ukiishiwa hela wanaku-block
Kwa ushauri; nenda kijijini mliko zaliwa, huko mnaweza kupata msaidizi na mambo yakaenda vizuri
 
He's a Men mydia. I think Careness ya mke ni tofauti na hao wasaikolojia.
Tatizo ni kwamba hawa wanawake wenyewe hawaeleweki anaweza kumpa furaha kwa siku chache then akampa maumivu mengine na kuongeza zaidi tatizo lake, Ila all the best kwa kile nyie mmeona kinamfaa kaka yenu.
 
Back
Top Bottom