Km ni mkristo,ahudhulie Sana ibada amtafute Mungu wake huenda huko huko atapata mtu,vinginenvyo sijui state yake Ila ajichanganye tu atapata wa kumfaa lkn mtandaoni labda ndoa ya mkata
Dah ilo nalo neno kipenzi, ila tunatarajia mazuri.Tatizo ni kwamba hawa wanawake wenyewe hawaeleweki anaweza kumpa furaha kwa siku chache then akampa maumivu mengine na kuongeza zaidi tatizo lake, Ila all the best kwa kile nyie mmeona kinamfaa kaka yenu.
Mtoa mada zingatia huu ushauriAlikua mafunzo ya ukomando nini? Ila mngetangulia kwa psychiatrist kwanza kabla ya kumtafutia mke, anaweza kuoa ndio akavurugwa zaidi hawa wanawake hawa.
Habari zenu humu, hopefully mko salama. Jamani niende kwenye point nina Kaka yangu ambaye alipata mtihani kidogo wa afya ya akili alipokuwa mafunzoni Jeshini ambayo imempelekea kutokua sawa, kuna mda unaweza kaa nae akaongea tu vizuri na sometimes anavuruga maneno. NB(sio chizi kwamba anavua nguo au labda anapiga watu, hapana. Hes humble and understanding).
Saasa kwakuwa hakuna mkate mgumu mbele ya chai, anahitajika mwenza (mke). Ambaye tunaamini kupitia yeye mumewe atakuwa sawa.
Kama kuna ambaye yupo tayari kwa hili please DM kwaajili ya info zaidi. This is too serious, Asanteni.
kila la kheri
Ninae
😳😳😳[emoji23][emoji23]
[emoji15][emoji15][emoji15]
KWA jinsi ulivoeleza huyo broo hana hata mpenzi wa kumliwaza sio!!?Mke ni zaidi ya psychologist.
mi ninae😂Una Mme [emoji23]
mi ninae[emoji23]